sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
sio roho mbaya. Nailinda ndoa yangu! Lol
Utajiju ! Ulivyonifuata na kuniambia "unanipenda" hukujua kama una ndoa?.......mie ndo nshakuingiza moyoni na kukutoa itakuwa ngumu
sio roho mbaya. Nailinda ndoa yangu! Lol
We...!!sasa wewe shida ya nini....tubadilishane password ili tusisumbue watu hapa.....
We...!!
Weeeee!
Haya ni mambo ya Umoja bana!! Lazima Mzee wa Rula aandike yale maandishi maandishi yake kwenye Dadavuzi-Mpakato yake!
Mimi nifanye siri jambo zito hilo?...Ukimpa Arushaone password yangu itakuwaje?...shida yako ukipewa spaletta siri zote njenje!
We...!!
Weeeee!
Haya ni mambo ya Umoja bana!! Lazima Mzee wa Rula aandike yale maandishi maandishi yake kwenye Dadavuzi-Mpakato yake!
Mimi nifanye siri jambo zito hilo?...Ukimpa Arushaone password yangu itakuwaje?...shida yako ukipewa spaletta siri zote njenje!
njenjeunje....spaletta kali hivyo...grand malta tu...nakuanika....
umetumia maneno makali sana! Lazima ameelewa! Kha...
Aisee mambo vp...Usharudi town au?..pole mkuu wetu.Usntie hasira PJ, namaliza msiba
Natoa shikamoo kwa wakubwa na wadogo napokea marahabaaa ingawa salam yenyewe ya kikoloni.
Ninawauliza sasa wanene na wembamba wafupi na warefu hii kesi ya hawa viumbe wa Mungu ilifanyiwa HITIMISHO lipi?
Tushirikiane kumaliza mkasa huu, tusiwe na ahadi hewa kama kile Chama Cha Mapromisi. Naifufua rasmi kesi hii.