PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
Nnaishi kwenye nyumba mojawapo kati ya nyumba mbili zilizoko ndani ya geti moja. Kwa hiyo tuko karibu sana na Jirani ya ngu kama vile marafiki wazuri.
Jirani yangu ana mtoto mmoja wa kiume na pia wanaishi na mtoto mmoja wa kike(umri sawa na huyo wa kiume kwenye miaka 19 hivi) ambaye ni mtoto wa dada yake mkewe.
Siku moja asubuhi nimelala(dirisha moja la chumba changu liko upande wa mbele ya nyumba yao) nikasikia hao watoto wakidiscuss jambo lililonishtua sana;
Dogo wa kiume alipita vibaya kwenye kamba adondosha ch*pi ya huyo dada yake aliyoianika mda mfupi baada ya kutoka bafuni.
Dada mtu akasema, umedondosha ch*pi yangu iokote na uifue. Basi wakaanza kubishana kiutaniutani oh ww unavaa boxer, ww unavaa nn..kwa mda mrefu kweli.
Sasa mi niko rum naboreka kwa maneno nnayoyasikia na hisia kwamba wanakoelekea c kwema. Sasa nataka niwaite na kuwashauri naomba mchango wenu tafadhali.
Je wanavyofanya hakuna matatizo ya kimaadili au mi ndo na 'complicate'?
Jirani yangu ana mtoto mmoja wa kiume na pia wanaishi na mtoto mmoja wa kike(umri sawa na huyo wa kiume kwenye miaka 19 hivi) ambaye ni mtoto wa dada yake mkewe.
Siku moja asubuhi nimelala(dirisha moja la chumba changu liko upande wa mbele ya nyumba yao) nikasikia hao watoto wakidiscuss jambo lililonishtua sana;
Dogo wa kiume alipita vibaya kwenye kamba adondosha ch*pi ya huyo dada yake aliyoianika mda mfupi baada ya kutoka bafuni.
Dada mtu akasema, umedondosha ch*pi yangu iokote na uifue. Basi wakaanza kubishana kiutaniutani oh ww unavaa boxer, ww unavaa nn..kwa mda mrefu kweli.
Sasa mi niko rum naboreka kwa maneno nnayoyasikia na hisia kwamba wanakoelekea c kwema. Sasa nataka niwaite na kuwashauri naomba mchango wenu tafadhali.
Je wanavyofanya hakuna matatizo ya kimaadili au mi ndo na 'complicate'?