hili limekaa vizuri,kufuatana na serikali kuendelea kujishebedua na kusuasua juu ya hatma ya wanvyuo kushiriki uchaguzi mkuu,wanaharakati hao wameamua kuipa masaa 72 kinyumme na hapo ni kuwepo kwa maandamano ya amani kushinikiza hilo jambo,lets join this guyz,safari yetu ya uhuru wa kweli tunakaribia