hamza mahundu
Member
- Dec 20, 2018
- 58
- 114
Wanafunzi wa diploma walioruhusiwa kuomba mkopo ni wa kundi gani?
Vigezo ni vipi?
Vigezo ni vipi?
Hicho kigezo bongo hakipoWasio na wazazi na walemavu
hvi wanaoendelea na chuo diploma wanaruhusiwa kuomba?Soma muongozo huo
Figisu tu na kuwahadaa watanzania masikini hakuna mkopo hadi mda huu wajapewa hao wanafunzi wa diplomaKwahiyo chini 2019 hatuhusiki