adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,951
- 23,094
Moja kwa moja.
Taarifa imetoka sasa kuwa kesho ndipo uzinduzi rasmi wa muongozo wa uombaji wa huo Mkopo kizinduliwa rasmi makao makuu. Jambo hilo liliibuliwa mwaka huu kama pendekezo moja katika mkuta wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Hassan Suluhu na viongozi wa wanafunzi vyuoni na kuahidi kufanya kazi.
Kilio cha muda mrefu kinaenda kutatuliwa sasa maana watu wa diploma waliona kama serikali imewatenga ,je yapi yatajiri ? tutaona kesho panapo maajiwa.
Taarifa imetoka sasa kuwa kesho ndipo uzinduzi rasmi wa muongozo wa uombaji wa huo Mkopo kizinduliwa rasmi makao makuu. Jambo hilo liliibuliwa mwaka huu kama pendekezo moja katika mkuta wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Hassan Suluhu na viongozi wa wanafunzi vyuoni na kuahidi kufanya kazi.
Kilio cha muda mrefu kinaenda kutatuliwa sasa maana watu wa diploma waliona kama serikali imewatenga ,je yapi yatajiri ? tutaona kesho panapo maajiwa.