Mwalufunamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 211
- 129
huyu jamaa namfahamu,alidisco pale mwaka wa kwanza,inasemekana alipata sap 5 first semester.
Ninyi mnamatatizo, naposema ninyi namaanisha wewe, [MENTION]Perry na Good Guy[/MENTION] (though sound like good gay). Kama nanyi ni wasomi wa UDSM, hamna tofauti na Mwigulu wala Yusuf MAKAMBA ambaye hakusoma hapo.
Nini tatizo la hoja za Kingxvi, je kuyataja hayo majina? Ama kuwaambia msishinde Mlimani City na Mwenge? Ama maudhui yaliyopo kwa sababu yamegusa tabia zenu za nyuma ya pazia?
Acheni utoto na ujinga wa hali ya juu kwa mtu anayeitwa msomi wa Chuo Kikuu. Jibuni hoja kwa hoja.
Ikiwa kawataja watu walioshindwa kimaadili na walikuwa ni zao la UDSM kwanini msimwonyeshe watu walioshinda kimaadili ambao ni zao la UDSM. Je! Mwataka kuthibitisha kuwa hakuna watu wa mfano kimaadili ambao ni zao la UDSM? Shame on you!!
Jiulizeni ikiwa maeneo yenu ya kujidai ni Mlimani Campus na Mabibo Hostels, kwanini wanachuo wengi wanashinda Mlimani City na Mwenge? What are the stories behind those scenes?
To supplement in exams or be discontinued from studying a particular course doesn't mean, at ALL, is the end of proper reasoning and failure in academics. If so, from today don't anything good from Sir W. Churchill (PM of UK) because he failed in his exams.
Jadilini hoja msishambulie mtoa hoja. Mkishindwa kujibu hoja za Kingxvi, basi I'll spit you "the three"... pttuuu!!