engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu zangu ma GREAT THINKERS
naomba niwaulize swali moja tu leo juu ya uhalali wa baadhi ya wapinga maendeleo ya kielimu ktk JF kukiita chuo kikuu cha dodoma kuwa ni CHUO CHA KATA,ningependa kutambuwa ni vigezo vipi wapinga maendeleo ya kielimu hapa JF wanavitumia ktk ku grade UDOM kama chuo kikuu cha kata?
mimi nadhani umefika wakati baadhi ya wapingamaendeleo ya kielimu hapa jf wakubali mchango mkubwa uliotolewa na serikali yetu ktk kukijenga hiki chuo,kwani tutambuwe kuwa ktk Dunia ya sasa bila elimu huwezi kuendelea
May be tubomoe chuo cha UDOM ili kuwaridhisha baadhi ya wana Jf wasiokubali kuwa UDOM ni chuo kikubwa pekee hapa TANZANIA na chenye msaada mkubwa ktk taifa letu kimaendeleo
Wana jf kuna uhalali kweli wa kukiita chuo chetu kikuu cha udom kuwa ni chuo cha kata? ama kwa sababu msingi wake ni CHIMWAGA jengo la mikutano ya CCM? hivyo inatufanya tuendelee kuwa na fikra zile zile za kila siku?
karibuni jamvini
MSEMA UKWELIIIIII HAPENDWIIIII DAIMAAAAAA
mapinduziiii daimaaaaaaaaaaa :target::target:
naomba niwaulize swali moja tu leo juu ya uhalali wa baadhi ya wapinga maendeleo ya kielimu ktk JF kukiita chuo kikuu cha dodoma kuwa ni CHUO CHA KATA,ningependa kutambuwa ni vigezo vipi wapinga maendeleo ya kielimu hapa JF wanavitumia ktk ku grade UDOM kama chuo kikuu cha kata?
mimi nadhani umefika wakati baadhi ya wapingamaendeleo ya kielimu hapa jf wakubali mchango mkubwa uliotolewa na serikali yetu ktk kukijenga hiki chuo,kwani tutambuwe kuwa ktk Dunia ya sasa bila elimu huwezi kuendelea
May be tubomoe chuo cha UDOM ili kuwaridhisha baadhi ya wana Jf wasiokubali kuwa UDOM ni chuo kikubwa pekee hapa TANZANIA na chenye msaada mkubwa ktk taifa letu kimaendeleo
Wana jf kuna uhalali kweli wa kukiita chuo chetu kikuu cha udom kuwa ni chuo cha kata? ama kwa sababu msingi wake ni CHIMWAGA jengo la mikutano ya CCM? hivyo inatufanya tuendelee kuwa na fikra zile zile za kila siku?
karibuni jamvini
MSEMA UKWELIIIIII HAPENDWIIIII DAIMAAAAAA
mapinduziiii daimaaaaaaaaaaa :target::target: