Acha kelele wewe kwanza hufai kuwa Jack Bauer, inabidi tukuite Charles Logan.
Kukufahamisha kuwa usi-connect post yangu na mimi kusoma UDOM ni kujidhalilisha?
Hizo school of thought zipo kibao kwenye management, economics, philosophy etc. Nilikuelewa vyema, but aim ni kukufahamisha mimi ni Mtanzania na sijasoma huko UDSM, UDOM wala MZUMBE, na so far sijaona tofauti yoyote kati ya graduates wa vyuo vya Kitanzania.
Vya nje ndio vina tofauti au sio? Kazi ipo