Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 219
Mwawado ulikuwa unatumia jina gani za mani ??
Mwawado ulikuwa unatumia jina gani za mani ??
Saidi Yakubu yupo Tanzania,aliacha kazi huko BBC - UK. Anafanyakazi ya Mkataba kwenye kitendo cha sheria kwenye Kamati ya Bunge la Commonwealth,wanaangalia Ufanyajikazi wa Mabunge ya Tanzania,kenya, Uganda na Bunge la Shirikisho la EA.Kwa Taaluma Yakubu ni mwanasheria/Mwandishi,nafahamu kuwa anaingia humu lakini kwa ajili ya conflict of interests anaweza kuwa ni mchunguliaji tu!!
Kama wapo majuu huenda maboksi yamekuwa mengi na yamewazidi sana.
Nakumbuka tulishamuuliza Invisible kuhusu Kada (kwa kudhani kafungiwa jumla), akasema hajafungiwa. Huenda naye kilimo kimembana (kwa kuhisi ni mkulima)!
Mwenye taarifa zaidi tunahitaji tafadhali!
Hata Mama Lao siku nyingi sijamuona hapa.
not only Dua, but also Kana ka nsungu na brotherman i really miss them.
Huyo Brazameni yupo Brazil kalowea huko huko
Huyo Brazameni yupo Brazil kalowea huko huko
Jama, napenda kuuliza, members hawa wametowekea wapi? Kuna anayejua...
--Mchongoma
--KadaMpinzani
--Pangupakavu
--AmazingFriend
--