Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Well, sijui kama wanajiona keki kama unavyodai. Ila ukweli ni kwamba Bongo kunachosha sana. Kuna uzembe wa hali ya juu katika kila nyanja. Na hiyo si kwa sababu ya kukosa fedha. Ila mawazo ni finyu kupindukia. Mimi nimekaa ughaibuni kwa muongo zaidi ya mmoja. Sasa nipo hapa Bongo. NI michosho tupu. Huo ni ukweli; na sio hisia.
Wewe kama wewe umefanya jitihada gani kuboresha?
 
Hii si watu walio ughaibuni peke yao.
Hata sisi hapa bongo tuna kasumba zilezile. Fikiria mtu anakwenda dukani kununua mahitaji yake akikuta kwa mfano dawa ya meno iliyotengenezwa Tanzania anaiponda na atahitaji colgate ya kenya.
Akikuta sabuni ya kuogea au kufulia atahitaji kununua ya kenya lakini iliyotengenezwa Tanga au Mwanza anaona si mali.
Unaweza kujiuliza kwa nini tuna pamba nyingi, mawese kibao, alizeti hata usiseme, lakini watu bado wanakula mafuta ya kupikia toka Asia?
 
Hii si watu walio ughaibuni peke yao.
Hata sisi hapa bongo tuna kasumba zilezile. Fikiria mtu anakwenda dukani kununua mahitaji yake akikuta kwa mfano dawa ya meno iliyotengenezwa Tanzania anaiponda na atahitaji colgate ya kenya.
Akikuta sabuni ya kuogea au kufulia atahitaji kununua ya kenya lakini iliyotengenezwa Tanga au Mwanza anaona si mali.
Unaweza kujiuliza kwa nini tuna pamba nyingi, mawese kibao, alizeti hata usiseme, lakini watu bado wanakula mafuta ya kupikia toka Asia?[/
B]


Bravo Mchukia fisadi,

Kuna watu wanamentality za kipumbavu!..chao hakina thamani ila cha jirani.
 
Hii si watu walio ughaibuni peke yao.
Hata sisi hapa bongo tuna kasumba zilezile. Fikiria mtu anakwenda dukani kununua mahitaji yake akikuta kwa mfano dawa ya meno iliyotengenezwa Tanzania anaiponda na atahitaji colgate ya kenya.
Akikuta sabuni ya kuogea au kufulia atahitaji kununua ya kenya lakini iliyotengenezwa Tanga au Mwanza anaona si mali.
Unaweza kujiuliza kwa nini tuna pamba nyingi, mawese kibao, alizeti hata usiseme, lakini watu bado wanakula mafuta ya kupikia toka Asia?

....hii ni result ya poor marketing
 
....hii ni result ya poor marketing

Yes,

Poor marketing and most of the time just poor standards/quality. TBS.........
Let us separate being patriotic for the sake of being patriotic..........
If its crap its crap, if its good its good........
 
....hii ni result ya poor marketing
Nini?
r u sure ya nini unasema?
Wewe tangaza tu hapa na utashangaa marketing cost zako hazitalipa!
Kwani foma na wengine wengi si wametangaza weeeeeee with a lot of promotions mpaka wamefikia kuacha?
We nenda uangalie shopping madukani watu utaona wananunua cheap chinese merchandizes hata kama hazina marketing yoyote hapa huku wakiacha madeni Tanzania!
Kwani vitu vya kenya na uganda nani anavimakert hapa?
We fuatilia tu.
Mimi nimeshangaa tuna very good and cheap bathing soaps zilizotengenezwa hapa Tanzania lakini utakuta mtu ananunua sabuni ghali eti kwa sababu tu imetengenezewa kenya au uganda au china.
Hii ya marketing ni kisingizio tu.
 
Yes,

Poor marketing and most of the time just poor standards/quality. TBS.........
Let us separate being patriotic for the sake of being patriotic..........
If its crap its crap, if its good its good........
Nzo kuna ukweli kidogo katika post yako kuliko unavyofikiri.
Je unadhani vitu tulivyonavyo vyote vinavyodharaulika hapa havijapita TBS?
No I beg to differ with you.
Watu wote wanao pioneer mawazo yako kwa vitu vya kitanzania always hawana lingine zaidi ya hilo mnalosema siku zote.
Lakini?
Mbona vitu vya nje ndio bomu kweli kweli?
Mbona vitu vya kichina havina marketing yoyote hapa na vingi ni bomu na vinanunulika kuliko vilivyopitia TBS yetu?
Au unataka kuniambia hata TBS yetu ni bomu?
Nataka nikuulize nani ana market vitu vya kenya na Uganda hapa?
Nani ana market ule mchicha toka south Afrika katika hayo Mashoprite?
We acha tu. "Watanzania ndivyo tulivyo". Usishangae mtu ana mke/mme safi sana lakini anashabikia vipita njia, akiviona ndivyo mali kuliko wake. Na visingizio vitakuwepo tu.
Habari ndio hiyo.
 
mchukia ufisadi,

....hivi lile tangazo la foma unaweza kulinganisha na tangazo la OMO?......hebu sikiliza na ule wimbo wa kutangaza sabuni ya mbuni!!!!!............yaani basi tu kwa ambao tunaifahamu mbuni ndio tunaendelea kununua....lakini sidhani kama walipata mteja mpya kwa kutumia ule wimbo wa mbuni!!!!!!!!!!!.
 
mchukia ufisadi,

....hivi market strategy za wachina unazifahamu kweli?........hivi unaweza kuamini mchina anauza pepsi bei rahisi kuliko anayezalisha pespi!!!.....upo hapo?

Watanzania tumeshindwa hata kuitangaza TANZANITE!!!...........hivi uliona wakenya walivyojitangaza baada ya snow kuanguka kule milimani!.................hivi ni mara ngapi sehemu kadhaa za Nyanda za juu kusini..........hii kitu imetokea na hakuna aliyetumia mwanya huo kuvutia utalii!!
 
Si hivyo mbona yeye anajulikana jamani huwa anashikilia wenzake bango sana kwa mgongo wa chupa YOYO SI ITAPENDEZA UKIWA MSHENGA WANGU KWA MWAFRIKA WA KIKE ? NAJUA ANACHUKULIWA NA MWAFRIKA MAGHARIBI MI SIKUBALI NA AMENIPITA UMRI KIDOGO YEYE AMESHAVUKA 30 LAKINI NTAVUMILIA KIDOGO KIDOGO
 
Kuna mwenzetu ambae mimi binafsi nilikua napenda kusoma michango yake ambae simuoni sasa humu ndani.Shishi rudi barazani popote ulipo tumekumiss.
 
Saidi Yakubu?

Saidi Yakubu yupo Tanzania,aliacha kazi huko BBC - UK. Anafanyakazi ya Mkataba kwenye kitendo cha sheria kwenye Kamati ya Bunge la Commonwealth,wanaangalia Ufanyajikazi wa Mabunge ya Tanzania,kenya, Uganda na Bunge la Shirikisho la EA.Kwa Taaluma Yakubu ni mwanasheria/Mwandishi,nafahamu kuwa anaingia humu lakini kwa ajili ya conflict of interests anaweza kuwa ni mchunguliaji tu!!
 
Back
Top Bottom