Wakimaliza kukukaribisha nipe taarifa ili nije kukupa introductionsijaolewa, ila nina mchumba soon nitawaalikeni wana jamvi...
asante Young Master, hee tena nijisikie nipo bafuni?
Beibenasty,hivi @judjement akiona hii post itakuwaje? Ngoja nimPM,ujue bishanga hana dogo.
wakubwa shikamoo,wadogo marahaba, rika langu habari zenu binafsi?
angalizo:nimetoka jukwaa la utambulisho nikaona nipite hapa kuwasabahi. mlale salama wapendwa wanajamvi