St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,587
- 4,418
sijaolewa, ila nina mchumba soon nitawaalikeni wana jamvi...
Duh,bahati mbaya gani hii,nilipendelea swali langu la msingi liwe endelevu lakini nishapigwa stop anyway nakuomba uwe dada yangu wa hiyari basi....