Hapo ndipo utakapojua kuwa bado tz tuko nyuma sana katika tasinia ya habari.Hiyo ilitakiwa maafisa wa habari wa tff kuwajuza wananchi kama kuna muhafaka wowote wa kuonesha kwenye tv yoyote but wako kimya,ili ni tatizo kubwa la nchi yetu kufanya mambo kwa kubahatisha.
Nakushauri tune Star,na kodoakodoa kwa tbc1
hapo ndipo utakapojua kuwa bado tz tuko nyuma sana katika tasinia ya habari.hiyo ilitakiwa maafisa wa habari wa tff kuwajuza wananchi kama kuna muhafaka wowote wa kuonesha kwenye tv yoyote but wako kimya,ili ni tatizo kubwa la nchi yetu kufanya mambo kwa kubahatisha.
Nakushauri tune star,na kodoakodoa kwa tbc1
Kaka Bendera ya bati, kwani tupo mbele kwenye tasnia ipi?
Ya umbeya,wizi/ufisadi,majungu,ushoga,umalaya,uchawi,njaa na umasikini!