Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndipo utakapojua kuwa bado tz tuko nyuma sana katika tasinia ya habari.Hiyo ilitakiwa maafisa wa habari wa tff kuwajuza wananchi kama kuna muhafaka wowote wa kuonesha kwenye tv yoyote but wako kimya,ili ni tatizo kubwa la nchi yetu kufanya mambo kwa kubahatisha.
Nakushauri tune Star,na kodoakodoa kwa tbc1
hapo ndipo utakapojua kuwa bado tz tuko nyuma sana katika tasinia ya habari.hiyo ilitakiwa maafisa wa habari wa tff kuwajuza wananchi kama kuna muhafaka wowote wa kuonesha kwenye tv yoyote but wako kimya,ili ni tatizo kubwa la nchi yetu kufanya mambo kwa kubahatisha.
Nakushauri tune star,na kodoakodoa kwa tbc1
Kaka Bendera ya bati, kwani tupo mbele kwenye tasnia ipi?
Ya umbeya,wizi/ufisadi,majungu,ushoga,umalaya,uchawi,njaa na umasikini!