Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
USHAURI TU
Nimeeona leo vijana wa Karume Boys wa un 15 waliyotoboa uganda na kutwaa ubingwa
Ukiacha kucheza kwa jihadi vijana walikuwa wakisikiaaa karumeee wengine wanaaita boys wakawa kama wehu uwanjani uganda waliona hii vita isiwe taabu twende matuta
Matutaa Karume Boys mabingwa congs sana vijana naamini ile michango mliohaidiwa hakuna middle man atawapiga hapo kati congs znz
Tuje kwa ndugu zetu waliowahi kupewa kichwa cha mwendawazimu ni ushauri tu nahisi majina ya wazee wetu yana nguvu kubwa
ifiike wakati sasa tuachane na Taifastars tuite
NYERERE BOYS..
Hata tukiwa nje rahisi wapinzani kuwa waoga wakisikia Nyerere boys wameshatua airport kupambana nao
Tff wakati muafaka sasa tushachoka taifastars na matokeo yake
Nimeeona leo vijana wa Karume Boys wa un 15 waliyotoboa uganda na kutwaa ubingwa
Ukiacha kucheza kwa jihadi vijana walikuwa wakisikiaaa karumeee wengine wanaaita boys wakawa kama wehu uwanjani uganda waliona hii vita isiwe taabu twende matuta
Matutaa Karume Boys mabingwa congs sana vijana naamini ile michango mliohaidiwa hakuna middle man atawapiga hapo kati congs znz
Tuje kwa ndugu zetu waliowahi kupewa kichwa cha mwendawazimu ni ushauri tu nahisi majina ya wazee wetu yana nguvu kubwa
ifiike wakati sasa tuachane na Taifastars tuite
NYERERE BOYS..
Hata tukiwa nje rahisi wapinzani kuwa waoga wakisikia Nyerere boys wameshatua airport kupambana nao
Tff wakati muafaka sasa tushachoka taifastars na matokeo yake