M
MegaPyne
Guest
WanaJF, kuna la kusema hapa.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoka kwenye ukumbi wa mihadhara wa Mwalimu J. K. Nyerere wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii cha Tengeru jijini Arusha alikokuwa mgeni rasmi katika mahafali ya kumi na moja ya Cho hicho December 6,2008 Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isdory Shirima na kulia kwake ni Mkuu wa Chuo hicho, Anatoli Bunduki.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua tangi la maji katika kijiji cha Mbande wilayani Kongwa baada ya kuzindua baada ya kuzindua Mradi wa Maji wa Kijiji hicho akiwa katik aziara ya mkoa wa Dodoma, November 18, 2008.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasalimia wananchi wa Kijiji cha Mlali wilayani Kongwa akiwa njiani kuelekea kwenye kituo cha walemavu cha Mlali November 18, 2008. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Dodoma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoka kwenye ukumbi wa mihadhara wa Mwalimu J. K. Nyerere wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii cha Tengeru jijini Arusha alikokuwa mgeni rasmi katika mahafali ya kumi na moja ya Cho hicho December 6,2008 Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isdory Shirima na kulia kwake ni Mkuu wa Chuo hicho, Anatoli Bunduki.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua tangi la maji katika kijiji cha Mbande wilayani Kongwa baada ya kuzindua baada ya kuzindua Mradi wa Maji wa Kijiji hicho akiwa katik aziara ya mkoa wa Dodoma, November 18, 2008.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasalimia wananchi wa Kijiji cha Mlali wilayani Kongwa akiwa njiani kuelekea kwenye kituo cha walemavu cha Mlali November 18, 2008. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Dodoma.