Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

Kuhusu ayo Mapikipiki i know nothing kiukweli!, sijui ndio taratibu zilivyo au ndio upambaji tu wa Motorcade ya JK!

Ilo gari la mawasiliano/ku-jam mawasiliano sijui!, ila kama likiwepo na Ma-VIP wetu hawa walivyo watalaam wa kukata mitaa..du!, usiombe nyumba yko iwe karibu na saloon/kimada wke anapoishi, guess you will be off air daily!

Then security level employed inategemea threats,skills, uchumi etc wa nchi, kwetu hapa sijui kama tumefikia Level hiyo even though we need to!

Mjomba huhitaji kujua mengi kuhusu mambo haya kujua kuwa something was wrong TAIFA. Juu hawakutakiwa wake watu wa SUTI its simple and clear as that
 
Kuhusu ayo Mapikipiki i know nothing kiukweli!, sijui ndio taratibu zilivyo au ndio upambaji tu wa Motorcade ya JK!
Hayo mapikipiki ni mapambo tu especially kwenye shughuli za kitaifa kama hizo.

Ilo gari la mawasiliano/ku-jam mawasiliano sijui!, ila kama likiwepo na Ma-VIP wetu hawa walivyo watalaam wa kukata mitaa..du!, usiombe nyumba yko iwe karibu na saloon/kimada wke anapoishi, guess you will be off air daily!
Hehehe ila manufaa yake ni makubwa sana, kwanza kwa sehemu kama taifa kwa jinsi kulivyokuwa na nyufa kwenye ulinzi walitakiwa wawe na hiyo mitambo ya kujam mawasiliano ya simu.
Then security level employed inategemea threats,skills, uchumi etc wa nchi, kwetu hapa sijui kama tumefikia Level hiyo even though we need to!
Mfano mdogo, sasa hivi Kenya and co wako desperate na intergration ya EAF na wanaona serikali ya Tanzania inasuasua sasa what if kuna mpuuzi kwenye cabinet ya moja ya hizi nchi apendekeze wamuassassinate rais wetu(God Forbid) watatumia hizi hizi loopholes ambazo sisi tunazidharau.

Ukisoma hii post hapa inasema 90% ya kidnapping au assassinations zinatokea karibia na gari au kwenye gari.
 
Hapa kuna matatizo on all points

RAIS WETU hana:

1) Ulinzi wa kutosha kwenye point of attack kwa sababu ya uwazi wa uwanja wa Taifa

...uwanja wa taifa ni sawa na "bakuli", kama kutakuwa na any form of attack, ni rahisi ku control entry/exit points zote haraka iwezekanavyo, labda hiyo attack ije tokea angani.

2) Kwa jinsi mapikipiki yalivyojazana pale sidhani kama kuna uwezekano wa ku evade assailants and escape as soon as it should be

...kuna career assailants na deranged assailants, hapa unazungumzia yupi/wapi? whatever the case, hiyo "ring" ya mapiki piki, ni small armed/armour assailant tu ndiye atayeweza kuzusha "shock and awe." kosa kama lile la lilotokea Mwanza 2005 kipindi cha kampeni ni nadra sana kutokea tena.

...kwa sababu wote tunajua kazi ya pikipiki ni kuondoa traffic njiani sasa Taifa kulikuwa na traffiic ganimpaka kuwepo na piki piki zote hizo?

...gari hilo hutumika kuzungukia ndani ya uwanja tu baada ya mheshimiwa kukagua gwaride ili kusalimiana na wananchi, si nje ya uwanja.

Pili for obvious reasons hilo gari alilokwemo ras linaonekana kwanza lenyewe ni threat in terms of security kwa sababu ikitokea incident how fast can they protect MKWERE bila kumdhuru?

...mambo ya PvP (Player(s) vs Player) hayo... who will react faster. Refer to the types of assailants.
 
Endelea kutoa darasa mkuu Icadon, maana kuna wengine hizi piki piki na gari la wazi kwa kutembelea rais uwanjani tumeziona kwa mara ya kwanza jana, na kwa hiyo tunahisi ki usalama kulikuwa na makosa sana na kwamba yamehatarisha usalama wa rais. Ulinzi wetu ni dhaifu mno. Sisi wabongo hatuna lolote, ni vitambi tu.
 
Mkuu GT, si lengo langu kuwafanya wajinga, ila najua kuwa kwa umbo la huyo bwana (na sidhani si ubwanyeye, maana the guy is just big, but not overfed), una judge the book by its cover. That is not wrong anyway.

Nimesikia bajeti za hawa watu zikiwa zinapigiwa kelele sana kila zinapotakiwa kuongezwa, na sasa ili kupata vyombo kama hivyo vya watendaji wa mataifa mengine, nadhani itabidi "tule nyasi tena..." lol...
 
I dis agreee


NOT GOOD ENOUGH kwa bajeti wanayopewa...rais amekuwa exposed sana pale Taifa jana.

What makes you think hakuna mile ambaye anaweza kujifanya mwandishi au akatumiwa kukaa pale juu na zile camera za TV
Personally i think this was a serious breach na someone should take a hike

-Sakata la EPA....(majina yatajwayo humo ni 'makubwa' mno!!)
-Mgawanyiko ndani ya serikali...(Kuvuja kwa siri-Masha/Mengi issue)
-2010 is here....(the so called 'Deals' in the power sharing are said 2B broken.)
....'N so on and on...
Unajua Rais Kikwete anawakati mgumu sana kisiasa,CCM na matokeo ya serikali yake ni kama 'GoGo' fulani hivi,wale wa awamu ya II walilibanduaX2 hivi,awamu ya III wakaja wakalikata kwa mashoka, hawa wa awamu ya IV wameliegemea tu maskini ya Mungu sasa limedondoka na wao ndo-wanao beba lawama zote!

Kama Rais ataamua/kulazimishwa kuwaadhibu hawa 'wabanduaji' na 'wakataji' GoGo basi shurti usalama wake ndani ya Nchi uimarishwe zaidi, hata kama bajeti ni finyu kiasi gani.Na hapa nina zungumzia usalama wa jinsi/mbinu za kisasa,...kwa usalama wa kutumia 'yale mambo yetu yale'-thats is left to individual skills.
**maoni yangu binafsi tu.
 
Jamani let us be frank!

Ingawa sii mtaalamu ktk haya mambo- Kuna threat gani kwa MKWERE sasa hivi? Bongo hatujakuwa na historia ya haya mambo.. may be atokee tu mtu kichwa maji!

MKWERE ni mtu wa watu na alipata legitimacy ya 80% ktk kura!

Ni wasi2 wetu tu!
 
Jamani let us be frank!

Ingawa sii mtaalamu ktk haya mambo- Kuna threat gani kwa MKWERE sasa hivi? Bongo hatujakuwa na historia ya haya mambo.. may be atokee tu mtu kichwa maji!

MKWERE ni mtu wa watu na alipata legitimacy ya 80% ktk kura!

Ni wasi2 wetu tu!

Lugha hiyo zzungumza uraiani lakini kule wanatakiwa kumlinda MKWERE24 /7 haya mambo ya mtu wa watu ndio mkaanza kulalamika alipopigwa mawe juzi au siyo nyie?

I am sorry to disappoint you when it comes to the protection of MR PRESIDENT everything can and should be overruled

ndio kazi yenyewe hiyo
 
Mkuu GT, si lengo langu kuwafanya wajinga, ila najua kuwa kwa umbo la huyo bwana (na sidhani si ubwanyeye, maana the guy is just big, but not overfed), una judge the book by its cover. That is not wrong anyway.

Nimesikia bajeti za hawa watu zikiwa zinapigiwa kelele sana kila zinapotakiwa kuongezwa, na sasa ili kupata vyombo kama hivyo vya watendaji wa mataifa mengine, nadhani itabidi "tule nyasi tena..." lol...

Tatizo hawa jamaa wazuri sana kuleta ma proposal ya kila namna kila kukicha halafu wana rely too much on HUMINT ambalo ni jambo zuri lakini ukweli ni kuwa kuna umuhimu wa kuimarisha teknologia au SIGINT


i wish ungeona msafara wa Balozi wa USA kkule Lebanon ukoje
 
...uwanja wa taifa ni sawa na "bakuli", kama kutakuwa na any form of attack, ni rahisi ku control entry/exit points zote haraka iwezekanavyo, labda hiyo attack ije tokea angani.



...kuna career assailants na deranged assailants, hapa unazungumzia yupi/wapi? whatever the case, hiyo "ring" ya mapiki piki, ni small armed/armour assailant tu ndiye atayeweza kuzusha "shock and awe." kosa kama lile la lilotokea Mwanza 2005 kipindi cha kampeni ni nadra sana kutokea tena.



...gari hilo hutumika kuzungukia ndani ya uwanja tu baada ya mheshimiwa kukagua gwaride ili kusalimiana na wananchi, si nje ya uwanja.



...mambo ya PvP (Player(s) vs Player) hayo... who will react faster. Refer to the types of assailants.

Hawa deranged assailant wanaotaka kuwaridhisha wapenzi wao achana nao, tunazungumzia professionals wanaotumiwa na mabilionea au nchi. Kama umesoma post za nyuma na ukiangalia hiyo piki piki utaona kuna lapse kubwa sana...yuko wapi yule bodyguard ambaye kazi yake ni kumuondoa principal wakati wa attack?
There is only one BG per principal. There may be a day BG and a night BG but generally there is only one BG on one principal at any one time. The other 'Bodyguards' are referred to as the PES. The BG is the person that will be in close contact with the Principal at all times. His job is to shield the Principal from any danger, i.e. to give 'body cover'. The BG forms the inner cordon of defence and is responsible for seeing that no threat gets past him and to the Principal. When working as part of the PES, the BG is the one that never stands and fights. He runs away (with the Principal of course), giving body cover as he does so. This role can be (dependant upon the situation) in complete contrast to that of the PES

Jamani let us be frank!

Ingawa sii mtaalamu ktk haya mambo- Kuna threat gani kwa MKWERE sasa hivi? Bongo hatujakuwa na historia ya haya mambo.. may be atokee tu mtu kichwa maji!

MKWERE ni mtu wa watu na alipata legitimacy ya 80% ktk kura!

Ni wasi2 wetu tu!
Mkuu hawa kazi yao hawataki kumuamini mtu yoyote linapokuja swala la ulinzi wa kiongozi...Alafu hizi sera za globalization inabidi tufikirie globally sio tena locally, fine hakuna threats ndani ya nchi vipi kuhusu nje ya nchi?
 
Jamani let us be frank!

Ingawa sii mtaalamu ktk haya mambo- Kuna threat gani kwa MKWERE sasa hivi? Bongo hatujakuwa na historia ya haya mambo.. may be atokee tu mtu kichwa maji!

MKWERE ni mtu wa watu na alipata legitimacy ya 80% ktk kura!

Ni wasi2 wetu tu!

Mkwere ana maadui kibao including Walalahoi like myself,nothing personal but the guy's so far failed to deliver....na bila kusahau wale alowatengeneza katika maisha yake ya "kimjini."

Rumour has it kwamba anaiamini zaidi "kamati yake ya ufundi" kuliko hao BGs wake!
 
Mkwere ana maadui kibao including Walalahoi like myself,nothing personal but the guy's so far failed to deliver....na bila kusahau wale alowatengeneza katika maisha yake ya "kimjini."

Rumour has it kwamba anaiamini zaidi "kamati yake ya ufundi" kuliko hao BGs wake!

hahaha duh na hiyo kamati ya ufundi nayo huwa inaoneakana kwenye shughuli kama hizi?
umenikumbusha wakati uleee alivyozidiwa kete pale jangwani na wenzie..ikabidi awaishwe wodini bagamoyo!!
 
alafu i read it somewhere mmojawetu anasema anawish tuone msafara wa balozi nadhani wa states huko lebanono,hav tried to find de nanihii but i cudnt get it anymore...hebu atuwekeee basi hata mapicha yake!

dats why i can vote kwa hii thread hii among de best one kwa mwaka huu! though ilipata mashambulizi hivi karibuni

pipo de more u tok abt hawa nonihinooo wetu sooner or later mtasikia hii thread inafanyiwa matengenezo n dat wud b de end of it!mwahatarisha usalama wa taifa atii
 
...Icadon, hapa napo vipi evaluation yake?
Tukianzia na hawa viongozi wa S.Korea na number 2. wa N.Korea

i152_610x1.jpg


Sarkozy naye anabanana na babu...
i153_340x.jpg


huku ndiko wanakotupa mawe?
i154_Kikwetemkutano1.jpg


yasije yaka wa kama haya...
i155_MC19.jpg
 
Mchongoma, nice pics hiyo picha ya Sarkozy na Wade imenichekesha...katika picha zote kasoro ya Kennedy miili iko nusu ndani ya gari.
..
 
Angalia reaction kwenye hii clip...Pope hakushtukia chochote kilichotokea.
[media]http://www.youtube.com/watch?v=T12kYfrt1js[/media]
 
Mtaalam Icadon, tafadhali hebu evaluate ulinzi unavyokuwa kwa picha ya wakorea walio na piki piki pembeni kwenye eneo lawazi ikilinganishwa na jambo kama hilo Juzi uwanja wa Taifa...
 
Mkuu ukiangalia hizo pikipiki na zile za JK ni formation mbili tofauti....
Wataalamu wenyewe wanaita flanking motorcades(nyingi kama za JK) wakati kwa Wakorea naweza kusema kuna pikipiki nne(mbili kila upande non flanking). Mara nyingi hizi pikipiki nyingi zinatumika kwenye maswala ya crowd control, mara nyingi unaweza kukuta hizo pikipiki zinachange positions kwa kwendana na hali ya ilo eneo.
 
Kwa wale mliobahatika kuangalia video ya Zapruder ya JFK assassination mtaona kuwa kulikuwa hakuna pikipiki kati ya gari la wazi la Rais na la walinzi na pikipiki zilikuwa pembeni kabisa.....Sasa ukiangalia hizi picha za JK uwanja wa taifa utaona katikati ya gari la rais na la walinzi kuna pikipiki zaidi ya tatu ambazo zinaziba njia.
Kitu kingine hakuna mlinzi yoyote aliye karibu na JK upande wa kulia na kushoto anaonekana mmoja ambaye yuko mbele.
Sasa swali langu yuko wapi yule mlinzi anayeform mduara wa ndani wa ulinzi(anayehakikisha hakuna kitu kinampita yeye na kumdhuru principal)?
34dres1.png
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom