Wale wote tulioapply kozi za Afya kupitia NACTE tukutane hapa!!

Nacte wana mambo hayaeleweki kabisa .. mfano wanafunzi wa kozi ya Maabala .. lazima awe na angalau D 5 kwa masomo ya Biology, Chemistry, Mathematics, Physics and English; bila hivyo watalamba hela yako alafu hupangiwi pa kwenda; lakini vyuo vya waelewa kama Mwasenda College of Health Sciences; unapokelewa ila unareseat masomo ambayo hukufanya vizuri, at the end of Semister ya pili unakuwa tayari umekamilisha vigezo vya usajili wa Nacte unaendelea kama kawaida.

Kwa maelezo zaidi tuma Pm nikupatie contact za hicho chuo au tembelea website ya chuo hicho.
Mi cjaomba coz ya maabala ahsante. Hata hivyo vgezo nnavyo vya kwenda course yoyote naona mtandao wao unasumbua
 
Katka tangzo la nacte la 9june lnasema ni wki nne baada ya kufungwa kwa udahili ambapo ilkua 3june uki calculate apo wki ya nne inaangukia tar 1july hivyo ni siku ya ijumaa...2we na subra ndugu zangu
 
Walituweka wazi
mkuu we umejuaje na hiyo taarifa ila mara nyingi hutoka mwezi wa tisa na mhula unaanza mwezi wa kumi
Juu ya hili...walituweka wazi kwamba kati ya wiki ya mwisho ya mwezi wa sita au wiki ya mwanzo ya mwezi wa saba...ndo maana inabidi tutegemee hivyo
 
Back
Top Bottom