usiwe na munkari badoMkuu..kua serious!!!
Kuna vya kutania....ila hapa si mahala pake kaka
Muongo huyoJaribu mudaa huu kuna jamaa kaniambia kitu kwake kimetiki
Ingia website ya nacte ukavune ulichopanda... Mambo hadharan saiz....Uzi huu ni maalum kwa wale wote ambao tumeapply kozi za afya NACTE. Karibuni tujuzane mambo mbalimbali,ushauri,maswali ya kozi husika n.k.
Karibuni sana wapendwa!!!