Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
kwa wale waliosoma Mbeya Secondary School (Mbeya Day), Kama mpo humu jamvini hebu tukumbushana kidogo enzi zile. Ile awamu ya kwanza ya vigae na streams mbili 'A' na 'B' kwa form 1&2 na science na commerce kwa form 3&4 na ile awamu ya pili ya baada ya vigae kuondolewa na kuwa bati tupu na streams nyingi kuongezwa na kuanzishwa A level.
I was there from 1980 wakati wa vigae na streams mbili na Headmaster NISAJILE
I was there from 1980 wakati wa vigae na streams mbili na Headmaster NISAJILE