pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,673
- 13,740
Hivi ni kazi nzuri inayofanywa na seikali au inayofanywa na mama SSH? Tumepoteza mwelekeo sana TzKuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.