Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,103
- 2,541
Bashite vipi
🤣🤣🤣Mara paaaap...!!! Mchana Jr Mkuu wa wilaya ya Same....🤔🤔🤔
Kivipi tena nahusika 😲😲😲😲List batili
Mbona mzabzab hayupo
Umeula mkuuKivipi tena nahusika 😲😲😲😲
Ally Happy outSalaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Nikipewa teuzi ninkana kwamba wanataka nipeleka kaburini mapema tuuUmeula mkuu
@Mshana JrMara paaaap...!!! Mchana Jr Mkuu wa wilaya ya Same....
HUYU JAMAA ANGEZAWADIWA HATA UBUNGE,A REAL FUNNY MAN.Mwanry yule wa sukuma ndani?😀 Apewe tu maana anafaa...
Kama kweli basi mama atakuwa poyoyo! Parseko Kone? At that age? Tutakuwa mapumbavu ya kutupwa!Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Ali Rufunga sina hakika kama bado yupo.Salaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Labda humjui vzr. Huyu mtu ni RC smart kuliko wote waliopo sasa. Age is just a number Kaka. Ally Hapi ni mdogo, utamfananisha kwa lipi na Kone? Ni usiku na mchana!Kama kweli basi mama atakuwa poyoyo! Parseko Kone? At that age? Tutakuwa mapumbavu ya kutupwa!
Miaka 85 bado anautaka u RC ili akafanye nini alichoshindwa kukifanya alipokuwa na miaka 60?Labda humjui vzr. Huyu mtu ni RC smart kuliko wote waliopo sasa. Age is just a number Kaka. Ally Hapi ni mdogo, utamfananisha kwa lipi na Kone? Ni usiku na mchana!
Na mimi soine soineSalaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Mbona wengi uliowataja ni wazee sasa? Wengine walikuwa ma DC miaka 199--- leo wanarudi kufanya nini wakakae Na wajukuu zao huko wavunage papai na avocado.Salaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Hata mie nimeshangaa sana labda anataka marehemu watoke makaburini waje kutuongozawe mzima kweli wewe unawataka mpka marehem, Mbwilo ni marehem
Kama kuna mkuu wa Wilaya na Mkoa, Mkurugenzi ana umuhimu gani?