Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Mguu sawa. Mkeka wa Mama Umechanika analeta mpya

Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Ally Happy out
 
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Kama kweli basi mama atakuwa poyoyo! Parseko Kone? At that age? Tutakuwa mapumbavu ya kutupwa!
 
Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Ali Rufunga sina hakika kama bado yupo.
 
Kama kweli basi mama atakuwa poyoyo! Parseko Kone? At that age? Tutakuwa mapumbavu ya kutupwa!
Labda humjui vzr. Huyu mtu ni RC smart kuliko wote waliopo sasa. Age is just a number Kaka. Ally Hapi ni mdogo, utamfananisha kwa lipi na Kone? Ni usiku na mchana!
 
Labda humjui vzr. Huyu mtu ni RC smart kuliko wote waliopo sasa. Age is just a number Kaka. Ally Hapi ni mdogo, utamfananisha kwa lipi na Kone? Ni usiku na mchana!
Miaka 85 bado anautaka u RC ili akafanye nini alichoshindwa kukifanya alipokuwa na miaka 60?
 
Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Na mimi soine soine
 
Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Mbona wengi uliowataja ni wazee sasa? Wengine walikuwa ma DC miaka 199--- leo wanarudi kufanya nini wakakae Na wajukuu zao huko wavunage papai na avocado.
 
Kama kuna mkuu wa Wilaya na Mkoa, Mkurugenzi ana umuhimu gani?

Halafu kuna RAS & DAS. Na bado watu wanataka kumuona Rais na misafara yake akitatua matatizo ya wanyonge hadi mitaani na vijijini!

Nchi ina pesa nyingi sana hii. Overheads za serikali zinatisha. Watawala wanajiweka sawa kwa matumizi ya anasa. Hakuna wa kujua, kuhoji wala kuchukua hatua.
 
Back
Top Bottom