Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Nasikitika kusema wabunge wa CHADEMA, kwa mlolongo wa matendo yao,hawako kwa maslahi ya nchi hii......wako kwa maslahi yao binafsi na ya chama chao....ni watu wa kukurupuka,wasio heshimu mawazo ya wenzao na waliokosa mikakati sahihi ya ku-deal na wapinzani wao.....zaidi ni waongo kama CCM na CUF,ni wafitini na wachochezi sana.....kwa matendo yao si watu wa kuamini....lolote na liwe mradi wao washinde....hatufiki!!!! Bunge haliwezi kukaa kutimiza mapenzi ya CHADEMA watakalo ndo liwe,nasikitika kusema UPINZANI WENYE MASLAHI NA WATANZANIA HAUJAZALIWA TANZANIA........tuna wenye njaa na tamaa tu katika vyama vya siasa......nazidi kujihurumia na kuwahurumia watanzania,kwakuwa sasa nimeona hakuna mwema.......nakaribisha matusi.......ila sitashabikia nisichokiamini kwa kuogopa kutukanwa JF
Dada Michele,
Naona umebobea katika kutoa ushauri zaidi katika masuala ya urafiki. Siasa sio fani yako...!
How could you comment such words? Unaijua siasa wewe? Siasa ya upinzani daima huw ainaelekezwa katika jitihada za kutawala nchi yaani ubinafsi wa chama kimoja katika kushawishi wananchi ili wakipigie kura kuweza kuiongoza serikali.
Ni haki ya CHADEMA kutoka nje ya bunge ili kuonyesha msimamo wao au kuonyesha kutorishika kwao endapo itaonekana jitihada zao zinaingiliwa na CCM