Wakipinga kuvurugwa Upinzani Bungeni; CHADEMA watoka nje!

Nyiye mnaowashambulia mna matatizo. Kafulila katika mjadala mmoja Star TV aliwaponda Chadema kwakuwaita wajanja wa wa kisiasa , Eti kwasababu waitoka nje hotuba ya Kikwete. sasa mtu msiyekutanisha mawazo wawezaje kuungana naye? Cuf +ccm wanaongoza dora pamoja zanzibar. Je niwapinzani wa kweli hawa? Kwa haraka kabsa hamuoni kuwa ni mbinu chafu zilizozoeleka za ccm ili kuwamaliza chadema? tafadhali nawaomba Chadema washikilie msimamo wao kwa kuwa hakuna awapendaye ila yule tu aliyemwanachama wao. Kama wapinzani wengine wanaona wanataka nguvu wachukue kadi za chadema.
 
Mh Stela manyanya alitataka mwongozo wa Spika kuhusu mh mbunge kutoka nje, kuwa ni lazima wainame mbele ya spika ili kuheshim kiti, alicema hakuna mbunge yeyote wa cdm aliye inama mbele ya kiti, alitaka kuwamaliza, nikamsifu Spika kutumia busara na kusema Mh Mbowe kama mwenyekiti wa cdm aliinama, hivyo alitafsiri kitendo kile kuwa kiliwakilisha wabunge wote wa cdm. Mama amekwepa moto. Mjanja huyu!
 
Sijui wenzangu mlitegemea nini kutoka Bungeni..., CCM wanamajority ya wabunge kwahiyo ni business as usual....

Kile walichoweza Chadema na Wabunge kama 10..., Cha kuchokonoa madudu ya CCM ndio kinabidi kifanywe sasa wakiwa na wabunge 500% zaidi..., Vita ya kweli haiko mjengoni bali ipo mtaani.., Kwa mazuri watakayofanya Chadema ndio itakuwa kifo cha CCM. Na hakuna platform nzuri ya kuonyesha hayo zaidi ya kufanya campaigns mpaka vijijini, na kuwatetea wananchi kwa matendo na kufukua kila ufisadi wa CCM

We need to fight According to our Strength... na bila CCM kufa hii nchi haitakombolewa na hakutakuwa na upinzani wa kweli,
 
Mama Anna Makinda ameanza rasmi kuliongoza bunge kwa a wrong step!.
Hata wana CCM makini wanajua fika ilichokifanya bunge sicho!.
Nadhani Chadema wanaweza kuitumia mahakama kurudisha maana rasmi ya kambi rasmi ya upinzani iliyodhamiriwa.

Sasa hebu tusubiri hao wana CUF na NCCR Mageuzi watakao gombea uenyeviti wa PAC, POC na LAC watafanya vipi kazi za kuziongoza kamati hizo nje ya kambi rasmi ya upinzani.

Kumbe kilio cha Hamad Rashid na Kafulila ni kilio cha kugombea maslahi badala ya kutafuta umoja wa united opposition.

Japo tangu mwanzo niliwalaumu Chadema kuwa peke yao hawawezi, nikiwasisitiza lazima washirikiane na wenzao lakini kwa hili la kulazimishwa hadi kupinda kanuni!, hapa niko na Chadema.
 
Lini bunge liliacha kukaa kutimiza matakwa ya CCM kama ilivyofanyika leo. Most of the time bunge has been used to make political expediency decisions, hesabu yote kubadili vifungu vya katiba kama vile rais kuteua wabunge 10, running mate kwenye uchaguzi mkuu, rais wa Zanzibar kuwa mjumbe wa baraza la mawaziri badala ya makamu wa kwanza wa rais, na mengine mengi ukitaka nitakupatia hapa.
!!!
Halafu mbona unajishtukia kuwa utatukanwa, tayari unajua kuwa umeweka pumba hapa nini. Just be urself men!!!! Maana ya upinzani wenye maslahi ni ipi na unapaswa kuwaje huo

Mimi si mwanaume.....sijishtukii ila nimezoea tukitofautiana watu wanatukana.....kama bunge linatimiza matakwa ya CCM,kutoka nje ya Bunge au kususia sehemu ya kikao kunawafanya CCM wasipitishe matakwa yao? ndo suluhisho?mi sijaona cha maana ulichoandika,hiyo mifano uliyotoa hata class three wa primary school kule kijijini anajua....
 
MTM,
"WAanasiasa wote ni wanafiki"! Nadhani unawajibika kutoa utafiti uliokufikisha kwenye Conclusion hiyo.

Dr with all due respect,
Mkuu unafiki ninao uona mimi hapa ni chama fulani kudhani chenyewe kipo sahihi kama malaika na hakipaswi kuchangamana na vyama vingine vya upinzani kisa tu mwaka huu wamepata wabunge wa kutosha kuunda kambi ya upinzani.
Mbona bunge lililopita mlishirikiana au tatizo ni muafaka wa wazanzibari, kinacho onekana hapa ni uroho wa madaraka kwa visingizio vya kisiasa kukataa wenzako,
Mkuu mchezo wa siasa unaujua wewe mwenyewe ulivuma na moja ya sababu ni kuwa katka kamati za bunge, sasa unapofanya fitna kuzuia wenzako wakati wanajua unawanyima nafasi ya kujijenga kupitia bunge lazima wata fight kupata nafasi, na ccm kama kwao hii vita yenu wapinzani ya kugombaniana mamlaka wataona ni nafasi yao kupenyeza lolote lazima watatumia, and this is what happen.
Katika hili ndio naona unafiki wa wanasiasa hasa linapokuja swala la maslahi
 
Mama Anna Makinda ameanza rasmi kuliongoza bunge kwa a wrong step!.
Hata wana CCM makini wanajua fika ilichokifanya bunge sicho!.
Nadhani Chadema wanaweza kuitumia mahakama kurudisha maana rasmi ya kambi rasmi ya upinzani iliyodhamiriwa.

Sasa hebu tusubiri hao wana CUF na NCCR Mageuzi watakao gombea uenyeviti wa PAC, POC na LAC watafanya vipi kazi za kuziongoza kamati hizo nje ya kambi rasmi ya upinzani.

Kumbe kilio cha Hamad Rashid na Kafulila ni kilio cha kugombea maslahi badala ya kutafuta umoja wa united opposition.

Japo tangu mwanzo niliwalaumu Chadema kuwa peke yao hawawezi, nikiwasisitiza lazima washirikiane na wenzao lakini kwa hili la kulazimishwa hadi kupinda kanuni!, hapa niko na Chadema.

Mkuu unakubaliana na walio wengi CUF si wapinzani ! Ni sehemu ya chama tawala.
 
Best jukwaa la urafiki ingependeza sana! Anayway kwa huku hakuna jokes ni serious issues ! Hongera kwa mawazo yako

Mi nipo sana hapa Best...sifanyi JOKES wala urafiki.....kila kitu na wakati wake......tuendelee kutofautiana tu lakini huna uwezo wa kunipangia nizungumze wapi na wapi nisizungumze......
 
Mama Anna Makinda ameanza rasmi kuliongoza bunge kwa a wrong step!.
Hata wana CCM makini wanajua fika ilichokifanya bunge sicho!.
Nadhani Chadema wanaweza kuitumia mahakama kurudisha maana rasmi ya kambi rasmi ya upinzani iliyodhamiriwa.

Sasa hebu tusubiri hao wana CUF na NCCR Mageuzi watakao gombea uenyeviti wa PAC, POC na LAC watafanya vipi kazi za kuziongoza kamati hizo nje ya kambi rasmi ya upinzani.

Kumbe kilio cha Hamad Rashid na Kafulila ni kilio cha kugombea maslahi badala ya kutafuta umoja wa united opposition.

Japo tangu mwanzo niliwalaumu Chadema kuwa peke yao hawawezi, nikiwasisitiza lazima washirikiane na wenzao lakini kwa hili la kulazimishwa hadi kupinda kanuni!, hapa niko na Chadema.


Mkuu Pasco ni nani anachagua wajumbe wa Hizo Kamati
 
sidhani kama hiyo hatua inaleta tija yoyote kwa wananchi wa kawaida

Tumeshajua CCM ni wababe na wameshika mpini, pia tukumbuke kuna akati hata tanu walishiriki uchaguzi wakijua si huru wala haki ili kuwa-surprise wakoloni.... basi tujifunze kutolerate differences

CHADEMA wangebaki, waungane na wapinzani na waanze ku-lobby kufikisha agenda yao na hata ikibidi kufanya vikao vya mara kwa mara... kumbukeni wanasiasa wote ni wanafiki hivyo basi kubadilika isingekua tabu as long as keki imewekwa mezani na kila mtu anajua mwenzake kapata kipande ngapi

Mkuu siungani na wewe kwa hili. Chadema wamefanya sawa sawa. Waungane leo kwa sababu gani wakati CUF wameamua kuungana na CCM sasa upinzani ni akina nani kama si Chadema peke yao. Hili litawafanya CUF wajue kwamba walikosea kujiunga na CCM eti serikali ya mseto. CCM wahuni tu. Wameshawapika vizuri akina CUF na vyama vinginevyo kuiua CHADEMA. Bravo Mbowe waonyeshe dawa ya moto ni moto wamekosa adabu hawa wao wanajipangia tu kuwaendesha watu kama magurudumu yaliyokosa upepo.
 
Wananchi wengi wanauliza Huu Ushirikiano wa Wapinzani unaopigiwa Upati na CCM ni kwa Manufaa ya Nani?
 
Dada Michele,

Naona umebobea katika kutoa ushauri zaidi katika masuala ya urafiki. Siasa sio fani yako...!

How could you comment such words? Unaijua siasa wewe? Siasa ya upinzani daima huw ainaelekezwa katika jitihada za kutawala nchi yaani ubinafsi wa chama kimoja katika kushawishi wananchi ili wakipigie kura kuweza kuiongoza serikali.

Ni haki ya CHADEMA kutoka nje ya bunge ili kuonyesha msimamo wao au kuonyesha kutorishika kwao endapo itaonekana jitihada zao zinaingiliwa na CCM

Asante......hapa nipo sana.....hii ndo sekta yangu haswaa.....kwani tukitofautiana lazima mgombe....we toa hoja nami nitoe.....
 
Mama Anna Makinda ameanza rasmi kuliongoza bunge kwa a wrong step!.
Hata wana CCM makini wanajua fika ilichokifanya bunge sicho!.
Nadhani Chadema wanaweza kuitumia mahakama kurudisha maana rasmi ya kambi rasmi ya upinzani iliyodhamiriwa.

Sasa hebu tusubiri hao wana CUF na NCCR Mageuzi watakao gombea uenyeviti wa PAC, POC na LAC watafanya vipi kazi za kuziongoza kamati hizo nje ya kambi rasmi ya upinzani.

Kumbe kilio cha Hamad Rashid na Kafulila ni kilio cha kugombea maslahi badala ya kutafuta umoja wa united opposition.

Japo tangu mwanzo niliwalaumu Chadema kuwa peke yao hawawezi, nikiwasisitiza lazima washirikiane na wenzao lakini kwa hili la kulazimishwa hadi kupinda kanuni!, hapa niko na Chadema.

Unajua mawazo ya CUF na NCCR yako kwenye madaraka na ndicho hico hasa kinachowasumbua
 
leo humtambui Rais,kesho uliibiwa kura,kesho unasusia hotuba ya rais,mara unamtambua,husikilizi hotuba unakuja kuijadili.....what is wrong.......hawana consistency...na hii inafanya watu kukosa imani.......
Probably they are consistent in telling the truth..?,

Anyway binafsi sina Chama ila am patriotic na nina machungu na nchi yangu... Na ninajua kwamba CCM ndio Cancer ya hii nchi ni sumu mbaya kabisa na bila CCM kufa hakuna mabadiliko..., Hivyo basi Chadema might not be perfect lakini they are the best we have..., hata kama ni dawa na ninapenda Dakika Tatu, lakini nikikosa hiyo Paracetamol will have to do....

Kwahiyo we need upinzani (ambao ni Chadema) as well as system kubadilika ambayo ni Katiba ya kuweza kuwabana future viongozi.., The bottom line is CCM must go.., they are too big for their own good
 
Back
Top Bottom