Si mchezo, vita vimeanza.. Just a day oneJioni ya leo ktk kikao cha kwanza cha bunge, wabunge wote akiwamo zito wametoka ukumbini kupiga hoja ya mabadiliko ya kanuni za bunge kuhusu muundo wa kambi ya upinzani, haya siku yaj kwanza moto ushaanza kuwaka
Wabunge wa Chadema wametoka nje kupinga kubadilisha kwa kipengele cha na ushirikiano wa wabunge wote wa upinzani.
Dah! hawajamaa wanakazi kweli mwakaa huu, hata ikifuka 2015 sijui!!, kwa mwendo huu wa kukokotwa na matamanio ya mtu mmoja, ngoja tusubiri na tuone.