Si ndio nyinyi Wakristo munaosema ndoa hazivunjwi? Leo tena mambo yamekuwa vipi? Au mkuki kwa nguruwe lakini kwa binaadamu huwa mchungu?
Mimi nauliza tu jamani!!!!!!!!!!!!!
dah!
huyu jamaa ni mwenda wazimu sana yaani ameamua kutuaibisha wanaume maana mwanaume kamili huwezi kulia lia hadharani kuwa umeporwa mke
unaporwa!!!!!!!!
HUYU NI WA KIUME SIO MWANAUME, mwanaume huwa halalamiki hi hivyo
.Siyo tu kwamba Josephine hamtaki, bali pia huyo jamaa ana matatizo mengine ya ziada. Ukisoma maelezo yake yaliyoandikwa kwenye gazeti la HabariLeo kuna kasoro kibao ambazo zinaacha maswali mengi:
1. Mwanamke aliondoka nyumbani, na kaondoka muda mrefu na alimuaga kabisa kwamba nakuachia kibanda chako nakwenda kwenye nyumba.
2. Josephine aliondoka na wanae, ajabu ni kwamba jamaa alikuwa hajui hata hao wanae wanaishi wapi, wanakula nini na maisha yao kwa ujumla yakoje.
3. Alikaa muda mrefu bila kuonana wanae, mwanaume ambaye yuko responsible sidhani kama anaweza kukubali "mke" aondoke na watoto na asijue hiyo familia inaenda kuishi wapi na itaishi vipi.
4. Kuna sehemu anasema mtoto alimpigia simu akiwa analia anataka kuondoka huko alikokuwa akiishi na mama yake, kama kweli jamaa yuko responsible, ilikuwaje asiende kumchukua mwanae kesho yake? Mpaka leo watoto bado wanaishi na mama yao.
Kwa ujumla jamaa anajidhalilisha mwenyewe na kujionyesha jinsi alivyo irresponsible.
Acha mahakama itoe hukumu yake wewe una base kwenye habari ya upande mmoja hujui huyo mwanamke aliondoka kwa sababu gani, unatoa judgement kisiasa na si kitaaluma.
Huyu jamaa naye anatumiwa tu kisiasa. Ndiyo maana nasema hii ni frivolous lawsuit. Muda wote huo alikuwa wapi kufungua hayo mashitaka? Ina maana kajua wiki chache tu zilizopita baada ya Slaa kuteuliwa na CHADEMA kugombea uraisi? Timing yake mbaya na inanuka siasa za personal destruction. Hata kama ana hoja na sababu nzuri lakini huwezi ukaondoa shaka la kutumiwa na wapinzani wa Slaa.
Halafu wakili wake ni mwana CCM mgombea udiwani. Hahahahaa....naona kuna kosa la miiko flani flani hapo.
Mkuu Mwiba,
Nani anatakiwa ku-report? Aliyekimbia au aliyekimbiwa? Kiutaratibu mume huwa anakabidhiwa mke au mke anakabidhiwa mume? Swali, je baada ya mkewe kuondoka nyumbani, huyo jamaa alifanya nini? Ali-report polisi? Alitoa taarifa kwa wazazi wa mkewe? Baada ya hapo alifanya nini? Ni nani anatakiwa ku-initiate process, mke au mume?
Mwanamke angetakiwa kutoa taarifa polisi iwapo angekuwa alipigwa na mumewe, lakini kama aliondoka tu bila ugomvi wowote, mwenye full responsibility ya ku-report kupotea kwa mkewe na wanae ni mwanaume maana ndiye aliyekabidhiwa mke.
Ninakubaliana na wewe kwamba sheria zitachukua mkondo wake, lakini naomba nikuhakikishie kwamba huyo jamaa yako atadhalilika zaidi na hayo madai ya bilioni moja yataishia hewani, ngoja tusubiri hiyo kesi itakapoanza kusikilizwa ili tujionee vimbwanga.
Ajabu ni kwamba siku anaongea na HabariLeo, mwandishi alimuuliza je ana mpango wa kwenda mahakamani? Akasema hana mpango huo. Ndio maana kuna watu wanasema jamaa anatumiwa na wana siasa. Ukishaingia kwenye siasa, akili huwa inasahau taaluma kwa muda, ndo maana hata wakili mwenyewe wanasema anagombea udiwani.
Kwangu mimi naona kesi imefunguliwa strategically kwa ajili ya uchaguzi tu na haitafika kokote. Uchaguzi ukipita na kesi hutakuja kuisikia tena.
Mkuu Mwiba,
Nani anatakiwa ku-report? Aliyekimbia au aliyekimbiwa? Kiutaratibu mume huwa anakabidhiwa mke au mke anakabidhiwa mume? Swali, je baada ya mkewe kuondoka nyumbani, huyo jamaa alifanya nini? Ali-report polisi? Alitoa taarifa kwa wazazi wa mkewe? Baada ya hapo alifanya nini? Ni nani anatakiwa ku-initiate process, mke au mume?
Mwanamke angetakiwa kutoa taarifa polisi iwapo angekuwa alipigwa na mumewe, lakini kama aliondoka tu bila ugomvi wowote, mwenye full responsibility ya ku-report kupotea kwa mkewe na wanae ni mwanaume maana ndiye aliyekabidhiwa mke.
Ninakubaliana na wewe kwamba sheria zitachukua mkondo wake, lakini naomba nikuhakikishie kwamba huyo jamaa yako atadhalilika zaidi na hayo madai ya bilioni moja yataishia hewani, ngoja tusubiri hiyo kesi itakapoanza kusikilizwa ili tujionee vimbwanga.
Ajabu ni kwamba siku anaongea na HabariLeo, mwandishi alimuuliza je ana mpango wa kwenda mahakamani? Akasema hana mpango huo. Ndio maana kuna watu wanasema jamaa anatumiwa na wana siasa. Ukishaingia kwenye siasa, akili huwa inasahau taaluma kwa muda, ndo maana hata wakili mwenyewe wanasema anagombea udiwani.
Kwangu mimi naona kesi imefunguliwa strategically kwa ajili ya uchaguzi tu na haitafika kokote. Uchaguzi ukipita na kesi hutakuja kuisikia tena.
.Mwiba mbona Kagoda, Deep Green, Mwananchi Gold refinary, Maremeta hawajajiuzuru nyadhifa zao?:glasses-nerdy:
.BitiMkongwe,
Maandiko matakatifu ndo yanasema hivyo kwamba kilichounganishwa na Mungu, binadam hawezi kukitenganisha. Lakini katika uhalisia wa mambo kuna ndoa nyingi sana za kikristo ambazo zimevunjwa au zimevunjika. Maandiko matakatifu pia yana vipengele ambavyo vinaelezea sababu ambazo zinaweza kufanya ndoa ivunjwe/ivunjike.
Bottom line ni kwamba hata kwenye ukristo bado ndoa inaweza kuvunjwa na sababu ziko kwenye maandiko yao.
Na mimi nimesema tu jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
.
kwa hiyo katika ukristo ndoa inavunjika bila kufuta kanuni za kanisa?
.Mkuu Mwiba,
Dr Slaa hawezi kujiuzulu kwa kuwa sijaona kosa lake mpaka sasa. Hivi Mkuu Mwiba ukikutana na mwanamke akakuvutia, si unamuuliza kama ana mtu au la? Akisema alishawahi kuolewa na kwamba alishaachika utataka nini zaidi? Au mwanamke akishakuwa na watoto na akaachika anatakiwa asiolewe tena? Kisa? Maalim hapo sikubaliani na wewe, wacha tuiachie Mahakama ifanye kazi yake. Uzuri wa kesi yenyewe siyo criminal, kwa hiyo haiondoi sifa ya Dr. Slaa kuwa mgombea.
.Na waliomsindikiza kwenye pres conference yake wote wapambe wa Makamba....hivi tingatinga lilipopora yule Mama mbona CCM hawakumsaidia mumewe?
Hivi huyu bwana ameporwaje mke wake? Mimi bado hii kitu haijaingia akilini!
Ulevi wa Mahimbo unaweza kuwa ulisababishwa na mawazo baada ya Josephine kutoroka kila wakati kwenda kwa Dk. Slaa. IPo habari kuwa alikuwa hashikiki alipokutana na Slaa, nyodo na dharau kibao kwa mumewe.Inaelekea Mahimbo siyo riziki kutokana na ulevi wa kupindukia ndiyo maana ndoa ikamshinda
.Sheria itawatambuaje kuwa mume na mke bila uthibitisho wa marriage certificate? hiyo sheria inahitaji kwenda mbele zaidi..
.
kwa hiyo katika ukristo ndoa inavunjika bila kufuta kanuni za kanisa?