Credit to Royaroy.... na mahimbo ni mpiga kura wake!!!!Je wajua kwamba wakili A.Kitururu anaye mtetea Mporwa mke wa Dr Slaa ni mgombea udiwani wa CCM kata ya ubungo.Je CCM mnataka wananchi wajifunze nini?.
Ukijua huu wenzio wanajua ule..Je wajua kwamba wakili A.Kitururu anaye mtetea Mporwa mke wa Dr Slaa ni mgombea udiwani wa CCM kata ya ubungo.Je CCM mnataka wananchi wajifunze nini?.
Je wajua kwamba wakili A.Kitururu anaye mtetea Mporwa mke wa Dr Slaa ni mgombea udiwani wa CCM kata ya ubungo.Je CCM mnataka wananchi wajifunze nini?.
OMG!That's way too low.Je wajua kwamba wakili A.Kitururu anaye mtetea Mporwa mke wa Dr Slaa ni mgombea udiwani wa CCM kata ya ubungo.Je CCM mnataka wananchi wajifunze nini?.
Another great mistake kwenye anga za sheria hii itachukuliwa ni kesi ya kisiasa zaidi.Je wajua kwamba wakili A.Kitururu anaye mtetea Mporwa mke wa Dr Slaa ni mgombea udiwani wa CCM kata ya ubungo.Je CCM mnataka wananchi wajifunze nini?.
Hivi huyu bwana ameporwaje mke wake? Mimi bado hii kitu haijaingia akilini!
Hivi huyu bwana ameporwaje mke wake? Mimi bado hii kitu haijaingia akilini!
Soma maelezo yake hayo ss sijui ameporwa au mke alimkimbia..bado kuna mambo yamejificha hapoMimi mpaka leo sijapata kuelewa kuporwa au kuchukuliwa mke/ mwenza inatokeaje maana nijuavyo mimi kama wote ni watu wazima basi wanakuwa wameridhia kufanya wanayotaka kufanya.
Kama mumeo au mke katoka na mtu mwingine basi kafanya hivyo kwa hiari yake. Sasa uibiwaji au uporwaji sijui unatokea wapi hapo....SMH
Mahimbo alidai, ndoa kati yake na Josephine haijavunjwa na chombo chochote na kwamba, bado ni mke wake halali.
Kwa mujibu wa hati hiyo, Mahimbo alidai hivi karibuni, mkewe alikuwa na safari za mara kwa mara na aliamini ni za kikazi. Josephine ni mfanyabiashara ambaye anaendesha kampuni iitwayo Green World Clinic.
Alidai katika tarehe na mahali tofauti, Dk. Slaa alimtambulisha mwanamke huyo kuwa ni mkewe, suala ambalo si kweli.
Mlalamikaji huyo alidai, uhusiano uliopo kati ya watu hao wawili umemfanya adhalilike na kunyanyasika katika jamii na anaiomba mahakama kumzuia Dk. Slaa kuendelea kujihusisha kimahusiano na mkewe.
Anaiomba mahakama kumwamuru Dk. Slaa kumlipa bilioni moja na kulipa gharama za kuendeshea kesi.
Soma maelezo yake hayo ss sijui ameporwa au mke alimkimbia..bado kuna mambo yamejificha hapo