HAPPY MAKUKU
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 120
- 21
we ndo waona ujinga ila wao wanaona wanaenda kupumzika kwa amani mbinguni, and dont play with muslim wakiamua hata kama jeshi zima litatanda barax2n watu hawatakata tamaa, ila kinachosubiriwa ni busara ya viongozi wetu wa serikali na tunawaheshimu kwa sababu tunaamini muda uliopo wanatumia busara ili hali isije ikawa tete zaidi maana haki na wajibu ni vitu viwli tofauti, watu wanadai haki, lkn wenye wajibu wa kutoa haki hizo hawatoi, hapo ndo kimbembe kinapaliliwa.Ni ujinga tu