Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
sijui lakini kama unafahamu what is engineering , usipolitize kila issue lakini ungejua kazi MHANDISI nini ungekaa kimya nisingependa kulalama humu kutoka na shida za nchi hii ila jua TU ENGINEERS wana impact kwenye hii nchi yako
hajui huyu,au anafanya utani hapa?