Wahandisi wa Tanzania baada ya miaka 50 ya uhuru

umejuaje hawapo embu taja kazi za wahandisi wa aina japo 2,

Nimejuaje hawapo? Hivi unahitaji kujua nini kuwa hawapo ilhali una macho na unaona? Kila nikiangaza macho yangu Tanzania nzima sioni chochote cha maana walichokifanya.

Sana sana naona mivumbi, matope, vijumba vya udongo, mitaro utadhani mahandaki, maji yasiyotoka mabombani, umeme wa shida, makazi ya watu utadhani madampo.....niendelee?
 
Mkuu NN km pangekua na mchakato wazi wa kuwainua local Engineers tungefika mbali,tatizo hii mentality ya wanaofanya vyema inabidi watoke ulaya ama kua na ngozi nyeupe ndiyo inayofanya wahandisi wetu ndani wazidi kutukanwa kwa makosa waliyofanya wengine...Hata hao China na Japan waliwaamini kwanza wataalamu wao na ndipo nao wakadhihirisha kua wanaweza kuimplement kile walichofundishwa chuoni...
 
Nimejuaje hawapo? Hivi unahitaji kujua nini kuwa hawapo ilhali una macho na unaona? Kila nikiangaza macho yangu Tanzania nzima sioni chochote cha maana walichokifanya.

Sana sana naona mivumbi, matope, vijumba vya udongo, mitaro utadhani mahandaki, maji yasiyotoka mabombani, umeme wa shida, makazi ya watu utadhani madampo.....niendelee?
unataka tufanyaje sisi ... ? uvumbuzi unafanyika bila initiative zozote nafikiri unafahamu serikali ya marekani ime invest kiasi gani SILICON VALLEY na unajua hiyo misharaha wanayolipa engineer pale ... WAHANDISI WAKITANZANIA WANAFANYA KAZI KUBWA SANA PAMOJA NA MAKWAZO YA MFUMO MBOVU WA NCHI YAKO WEWE
 
Nimejuaje hawapo? Hivi unahitaji kujua nini kuwa hawapo ilhali una macho na unaona? Kila nikiangaza macho yangu Tanzania nzima sioni chochote cha maana walichokifanya.

Sana sana naona mivumbi, matope, vijumba vya udongo, mitaro utadhani mahandaki, maji yasiyotoka mabombani, umeme wa shida, makazi ya watu utadhani madampo.....niendelee?

hakuna point hapa unaargument yoyote ya kitaaluma ya uhandisi hi kwangu ni blah blah bado
 
I can see im about to argue with ignorants and it might cost me my time,ngoja nitoke hapa,angalizo its a proffesion attack we need proffessional arguments not bla bla blah,

We need engineers who can do. Not who can talk.

Tanzania hakuna engineers. Kama wapo nambie au nionyeshe kazi zao ambazo hata nikimwonyesha mgeni atakubali.
 
Tanzania kuna wahandisi?

Wahandisi wapo tena wazuri tu!! mbaya ya nchi hii siasa ndio mbele kuliko utaalamu!! kama unataka kujua hii angalia studies mbalimabli zilizofanywa ambazo ni majibu ya mengi ya matatizo ya nchi hii lkn wapi bana! ikifikia implementation mwanasiasa ndio anaamua!! napenda kukuakishia NN wapo wazuri tu lkn hawasikilizwi na hawana support.
 
Wahandisi wa uhakika wa Tanzani wote wako nje ya Tanzania. Hapa kuna makanjanja tu, huoni ma boksi yaliyojaa Kariakoo?

Si waliopo Serikalini si waliopo mitaani. Yote mikanjanja, tena hao waliopo Serikalini ndio kabisa hawana ubunifu, hawana kuona hapa hili osa, wao michuzi tu, ikiwakatia wako tayari kufanya chochote hata kupinda sheria, ndio maana tumeon a mighrofa kadhaa ikiporomoka, tumeona watu wakijenga hovyo sehemu za wazi kama bonde la Jangwani, hawa wahandisi walikuwa wapi?

Yote hiyo ni mikanjanja tu.

porojo kawaida yako wewe ... NAMTAENDELEA KUONGEZEA BEI ZA UMEME BARABARA MBOVU NA MIND SET ZENU ZA WAHANDISI WAKITANZANIA NI WAZUGAJI
 
we need engineers who can do. Not who can talk.

Tanzania hakuna engineers. Kama wapo nambie au nionyeshe kazi zao ambazo hata nikimwonyesha mgeni atakubali.
hebu sema mmoja ya kazi ya engineer unayoijua wewe maana naona wewe ndio unaongea hapa
 
Wahandisi wapo tena wazuri tu!! mbaya ya nchi hii siasa ndio mbele kuliko utaalamu!! kama unataka kujua hii angalia studies mbalimabli zilizofanywa ambazo ni majibu ya mengi ya matatizo ya nchi hii lkn wapi bana! ikifikia implementation mwanasiasa ndio anaamua!! napenda kukuakishia NN wapo wazuri tu lkn hawasikilizwi na hawana support.

Mpaka hapo nitakapoacha kuona mavumbi, matope, na makazi yaliyo mithili ya dampo ndipo nitakapokubali kuwa kweli wahandisi tunao. La sivyo kama wahandisi wenyewe nao wanasumbuliwa na mgao wa umeme na wanachota maji visimani, ujue wahandisi hatuna.
 
unataka tufanyaje sisi ... ? uvumbuzi unafanyika bila initiative zozote nafikiri unafahamu serikali ya marekani ime invest kiasi gani SILICON VALLEY na unajua hiyo misharaha wanayolipa engineer pale ... WAHANDISI WAKITANZANIA WANAFANYA KAZI KUBWA SANA PAMOJA NA MAKWAZO YA MFUMO MBOVU WA NCHI YAKO WEWE

Nikisema tu German engineering tayari mtu unapata picha!
Nikisema tu Japanese engineering tayari mtu unapata picha.
Nikisema tu American engineering tayari mtu unapata picha.

Tanzanian engineering....?
 
Lets take a simple example mhandisi wa majengo analetewa jengo na architect tayari anadesign chuma na other elements mkisema si wabunifu mnataka labda abuni chuma yake au?guys i insist we need proffessional arguments!
 
Wahandisi wa uhakika wa Tanzani wote wako nje ya Tanzania. Hapa kuna makanjanja tu, huoni ma boksi yaliyojaa Kariakoo?

Si waliopo Serikalini si waliopo mitaani. Yote mikanjanja, tena hao waliopo Serikalini ndio kabisa hawana ubunifu, hawana kuona hapa hili osa, wao michuzi tu, ikiwakatia wako tayari kufanya chochote hata kupinda sheria, ndio maana tumeon a mighrofa kadhaa ikiporomoka, tumeona watu wakijenga hovyo sehemu za wazi kama bonde la Jangwani, hawa wahandisi walikuwa wapi?

Yote hiyo ni mikanjanja tu.
FF unakosea watu wanofanya mabox kariakoo hawaitwi wahandisi!!
Najua watu wengi kutafoutisha nani anafanya nini kwenye project ni ngumu!! kwa mfano kwenye mabox usemayo hiyo shape ya jengo sio kazi ya mwandisi!!kazi yake hapo ni kureinforce structure tu.Na mfano wa projects za kariakoo ni kesi very special unakuta client analipa design fees peke yake alafu analeta mafundi kusimamia hapo ndipo balaa!!
 
Nikisema tu German engineering tayari mtu unapata picha!
Nikisema tu Japanese engineering tayari mtu unapata picha.
Nikisema tu American engineering tayari mtu unapata picha.

Tanzanian engineering....?
sijui lakini kama unafahamu what is engineering , usipolitize kila issue lakini ungejua kazi MHANDISI nini ungekaa kimya nisingependa kulalama humu kutoka na shida za nchi hii ila jua TU ENGINEERS wana impact kwenye hii nchi yako
 
Mpaka hapo nitakapoacha kuona mavumbi, matope, na makazi yaliyo mithili ya dampo ndipo nitakapokubali kuwa kweli wahandisi tunao. La sivyo kama wahandisi wenyewe nao wanasumbuliwa na mgao wa umeme na wanachota maji visimani, ujue wahandisi hatuna.

ok mhandisi gani anahusika na mavumbi na anahusikaje?na unataka afanyaje?
 
Lets take a simple example mhandisi wa majengo analetewa jengo na architect tayari anadesign chuma na other elements mkisema si wabunifu mnataka labda abuni chuma yake au?guys i insist we need proffessional arguments!
hawafahamu what engineering means unabishana na wabishi wanajua kila kitu ... wanahitaji elimu ya kutosha hawa kuhusu prof za watu
 
Back
Top Bottom