Wageni mnaoingia Zanzibar kuweni makini na hili...

Jana mchana nikiwa katika kazi zangu hapa Zanzibar niliingia ofisi moja ya Serikali.... kwa mbali nilisikia wanajadili jinsi ya kutafuta dawa/sumu ambayo inaweza ikamwaga au kupuliziwa kwenye chupa hasa za Bia, QUOTE]

Kwa mtu anayefikiri kwa kichwa, hilo haliwezekani kwa sababu, kama ungesikia maneno hayo toka kwa mhudumu wa bar, watu wangepaswa kuwa na tahadhari, lakini mfanyakazi wa serikali atafanyaje fanyaje mpaka aende bar akapulize sumu kwaenye chupa za bia? Sikatai unaweza kumsikia yeyote toka popote, lakini mazingira hayamwezeshi mtu kutenda lolote popote.

Ni akili za kitoto sawa na mtoto kutaka kudungua ndege kwa manati. Tukiambiwa tujiambie, na tukisikia tupime.
 
mkuu fidel kama nikweli hiyo kauli imetolewa na wazenj ujue wao wanayafanya hayo kwa imani yadini yao,hakuna faida wala hasara watakayopata kama bia ikipigwa marufuku zenj,imani yao nibora kuliko hiyokodi unayosema,watapata faida kubwa wakiondoa uchafu wapombe kwamujibu wa imani yao,NAWASILISHA.
Huo utakuwa ni unafiki, hasa toka kwa serikali kwani nakumbuka mwaka fulani walipokea msaada wa pesa toka TBL kwa kujenga visima vya maji. Hii ni kama ule wimbo mmoja wa Kipemba "Changu nala, pweza nala, nguru nala...ela nkunga tu sili" au kwa wale wanaokataa kula kiti moto lakini supu yake wanakunywa. Zanzibar wanapiga marufuku pombe lakini wanapokea misaada ya pesa za pombe.
 
Hivi Zanzibar ni nchi ya Kiislam?

99% upumbavu wa aina hiyo si kitu cha ajabu sehemu yenye waislam wengi hivyo. sinywi pombe kabisa nashukuru kwa makuzi hayo,lakini anae kunywa pombe hana madhara kwenye maisha yangu hivyo siwezi kumdhuru au kuharibu pombe yake,kwani kunywa ni kwa faida au hasara yake,naweza kumshawishi aiache lakini siwezi kupambana nae au wanaouza pombe sababu hawanilazimishi mimi kutumia wala kuwepo kwa pombe hakuwezi kunishawishi niwe mnywaji.
 
Ni bahati iliyoje kwa dini ya kiislam kwamba imetoa nafasi nyingi tu kwa watakao onja pepo kwa kutenda mema, wakati huo huo imetoa nafasi nyingi pia kwa wale watakaoshindwa kutendo mema watende maovu dhidi ya binadamu wengine ili waende peponi, KUTENDA MEMA ni kazi ngumu sana kwa idadi kubwa ya waislam, hivyo jepesi kwao ni kuendea uovu dhidi ya wengine wenye imani tofauti na wao.

Waislam wameagizwa mambo mengi sana ambayo wanatakiwa kuyatenda ili waiendee pepo na kufaidi mabikra wanaowasubiri huko (kwa wanaume) Lakini mambo hayo wakiyatenda hayana tija machoni pa waumini wenzao hivyo hupanga kufanya yale yatayo onwa na waumini wenzaoi ili waonekana kama ni watetea dini ya mwenyezi mungu Allah, yaliyorahisi ni yale wanayoweza kuyatenda kwa kutumia nguvu za miili yao na si kutumia busara,kama kuvunja mabucha na mabanda ya nguruwe,kuchoma moto bar na kuharibu mali zote za wasio waislam n.k.

Kwa waislam hayo ni mambo ya kawaida na yanaleta sifa kwa mtendaji, hawana guilty conciousness kwenye uovu huo, wao ni sehemu ya ibada.
 
Back
Top Bottom