Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
na ile dhambi nyingine wanayoipeeeeenda iko vipi?
safi sana...maana ulevi ndio chanzo cha matatizo yote
safi sana...maana ulevi ndio chanzo cha matatizo yote
safi sana...maana ulevi ndio chanzo cha matatizo yote
Hivi Zanzibar ni nchi ya Kiislam?
Jana mchana nikiwa katika kazi zangu hapa Zanzibar niliingia ofisi moja ya Serikali.... kwa mbali nilisikia wanajadili jinsi ya kutafuta dawa/sumu ambayo inaweza ikamwaga au kupuliziwa kwenye chupa hasa za Bia, naandika hapa nikiwasihi ndugu na wapendwa mnaotumia kinywaji chenye kileo muwe makini, nawaomba na kuwatahadharisha mkiingia hapa visiwani msikubali kunywa bia glass hii ni kwa usalama wa afya na maisha yenu.. maana hawa jamaa baada ya kujaribu zoezi la kuteketeza Bar moto kushindwa kufanikiwa wanataka kuja na mbinu hii nyingine na hii itawadhuru na kuwaathiri watu wengi endapo itafanikiwa....
nawasalisha...
kwani hata kwenye biblia pombe si imekazwa?
Wazenji akili zao fupi kama sarawili wanazo vaa.
Bia ndo inaongoza kwa kulipa kodi hapa nchini iwe bara au zenji kwenyewe wao wanachoma bar.
Au wanafikiri dagaa wanao vua ndo wanawaongezea pato?
Halafu munasubiri maendeleo wakati munajisifu kwamba ulevi ndiyo unaoingiza kodi kubwa nchini? Kha wenye akili fupi ni nani sasa, nyiny munaojisifu kuwa taifa la walevi au...... Hata hao wazungu wenyewe walio na viwanda vya kila aina ya ulevi hawalewi kama nyinyi limbukeni.
Na kwa nini mumejaza matangazo ya ulevi ni noma mungeendelea kushabikia tu na kuzidi kuongeza kulipa kodi.
Ndiyo, yesHivi Zanzibar ni nchi ya Kiislam?
badala ya kupanga mikakati ya kuboresha usafiri wa meli / boti zao wanapanga kupambana na upuuzi usio na tija
kwani pombe na ushoga kipi bora nyie mnao toka znz???????
Mkuu we ni shujaa kuwa na jibu lillilonyookazanzibar wanadai bora ushoga.
Kama serikali mliyo iweka madarakani nyie vichwa maji inakazana kupandisha kodi kwenye pombe na kuacha madini yakifukuliwa kwa juhudi zote unategemea nini? Migodi ya madini imezidiwa na Chibuku kulipa kodi. Mi najisikia fahari JK na Shein wanazurula nchi za watu kwa kunywa kwangu pombe nikiacha kunywa uchumi utayumba wa nchi.
Halafu munasubiri maendeleo wakati munajisifu kwamba ulevi ndiyo unaoingiza kodi kubwa nchini? Kha wenye akili fupi ni nani sasa, nyiny munaojisifu kuwa taifa la walevi au...... Hata hao wazungu wenyewe walio na viwanda vya kila aina ya ulevi hawalewi kama nyinyi limbukeni.
Na kwa nini mumejaza matangazo ya ulevi ni noma mungeendelea kushabikia tu na kuzidi kuongeza kulipa kodi.