Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,006
- 12,267
Hii hapa video chini ya Tundu Lissu akitapika nyongo bungeni kuhusu uhalali wa muungano uchwara wa Tanganyika na Zanzibar tumsikilize kwa makini hapa.
Haaaaaah lissu anasema "Zanzibar haijawahi kuridhia muungano mpaka keshokutwa"Ni ukweli mchungu, Zanzibar ni koloni la Tanganyika lkn awamu huu Tanganyika inakamuliwa maziwa yanapelekwa Zanzibar
Kaongea point sana...Hii hapa video chini ya Tundu Lissu akitapika nyongo bungeni kuhusu uhalali wa muungano uchwara wa Tanganyika na Zanzibar tumsikilize kwa makini hapa.
View attachment 2809870
Ila ni kwa gharama ya Tanganyika a.k.a shamba la BibiTundu anaeleweka sana!!
Kama ulienda mara ya mwisho Zanzibar 2021 ukienda Sasa 2023 utapotea. Barabara zinavyopanuliwa, mafry over! yaani Zanzibar imenoga. Hongereni wazanzibar. Tuulinde muungano wetu.
Balaah tupuSasa hivi Muungano unalindwa kijeshi siyo Katiba!
Uchwara ni yeye mkimbizi uchwaraHii hapa video chini ya Tundu Lissu akitapika nyongo bungeni kuhusu uhalali wa muungano uchwara wa Tanganyika na Zanzibar tumsikilize kwa makini hapa.
View attachment 2809870
Sijawahi kumuelewa Lisu kwenye masuala mengi sana.
Wakati sheria ya Natural wealthy inatungwa mwaka 2017,kwa mfano,Lisu alipinga sana.Lakini juzi kwenye sakata la DPW alitumia hizo kujengea hoja.
hiki kichwa ni maliasili ya Tanzania. ametema hoja zote hajaongea pumba hata moja.Wabunge karibia wote wa CCM walipigwa na butwaa na kubaki kushika tama tu🤡
HakikaNiseme tu,Lissu anavutia katika upangaji hoja zake,kwakweli ni kichwa hasa.