Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,755
218,373
Taarifa kamili hii hapa.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Bw. Charles E. Kichere anasikitika kutangaza kifo cha Bw. Geofrey Lawrence Makonyu, Mkaguzi Kitengo cha Walipa Kodi Wakubwa ambae amefariki akiwa Yaounde nchini Cameroon akiwa katika majukumu ya kikazi.

FB_IMG_1682873272562.jpg

Marehemu Geofrey Lawrence Makonyu
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe.

====

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E Kichere anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi-Divisheni ya Ufanisi, Marehemu Ndimwaga Shitindi kilichotokea leo Jumapil, Aprili 30, 2023 katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akiwa kwenye matibabu. CAG na Watumishi wote tunaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki wa Marehemu Ndimwaga kuomboleza msiba huu.

2.jpg

Marehemu Ndimwaga Shitindi

Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe.
 
Back
Top Bottom