bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Daah .....afadhali leo ni jumatatuWanawake ndio walivyo Akili ndogo.. Kutoa kauli bila kufikiria.
Daah .....afadhali leo ni jumatatuWanawake ndio walivyo Akili ndogo.. Kutoa kauli bila kufikiria.
Tumetumwa na chama........we Kimey na Iribini hayo maswali muulizeni Paw....
Halafu mbona mnamuulizia sana?
tutamuomba invisible ampe shigongo
Kile kinachopinduka?Tumetumwa na chama........
au kweli sales approach ya global publisher? so wanampa dau au?unajua mi namlaumu sana shigongo na hivi vigazeti vyake vya udaku... watu wanaweza wakawa wanaumiza vichwa kumbe usikute hiyo stori imetengenezwa tuu ili wauze magazeti..... hakuna cha wameachana na wamerudiana...
Matola u made me lol on the bolded phrase......Wewe huoni kama ndio unatuletea udaku hapa gazetini? hujui kama alikuwa anaanda clip ya movie yake mpya aone nyinyi wapenda udaku mtaipokeaje!
Au umeshasahau kama Wema Sepetu na Diamond huwa wanaachana siku 2 na siku 3 wanarudiana? kwa kifupi hawa wote akili zao ni shake well before use, half empty glass.
Smile unajihangaisha bure kujiuliza maswali yasiyokuhusu, wampe dau wasimpe wewe inakuhusu nini? Aachane na mumewe au arudiane nae pia haikuhusu mpendwa, maisha yenyewe haya utafuatilia ya wangapi? Ya ngoswe, mwachie ngoswe!au kweli sales approach ya global publisher? so wanampa dau au?
magazeti wanafki tu rudia hesabu za kutoa na kujumlisha umekurupuka miez 18 ni mwaka mmoja na nusu!.mwanamke ukishamlala awe ananipenda asinipende kwisha habari yake WAPO WENGI .
Swadakta!!Kushney kabisa,tunaswitch kwa mwingine!Belivdatmagazeti wanafki tu rudia hesabu za kutoa na kujumlisha umekurupuka miez 18 ni mwaka mmoja na nusu!.mwanamke ukishamlala awe ananipenda asinipende kwisha habari yake WAPO WENGI .
wanawake tuna akili ndogo?
This is unacceptable. There are three types of women
1). Intelligent ones (COE, Ministers, principla secretaries, University dons, and e.t.c)
2) Secretaries
3) Housegirls...
Which category are you refering??. Some of those in category one can do far better than you. Most men know that and you do not need a university degree.
mimi sio mdau wa mambo ya udaku kiviile ila katika mishe mishe zangu nilikutana na habari kwamba irene uwoya ameachana na mume wake katika sababu zake alisema hv;kwanza sijawahi kumpenda Ndikumana kabla sijafunga naye ndoa na hata baada ya kufunga. akaendelea tena kusema ile ndoa kama nililazimishwa lakini sikuwa na mapenzi ya dhati Hata hivyo, nimejitahidi sana kuishi naye miaka miwili na nusu! (Miezi 18) ila taarifa zinasema wamerudianahebu jamani tupeni ushauri huyu mwanamke je izo ni kauli nzuri kusema pale unapokuwa una matatizo na mwenza wako ndani?hata kama wamerudiana kwa kauli hzo za huyo mdada huyo mumewe ataweza kumpenda tena au atakuwa anajisikiaje