kama unadhani unajikomoahapo kaka nitakuwa najikomesha mimi. Anyway ushauri wako na akili zangu nikichanganya nitapata kitu. Thanx
nitaomba nitumie Account yako kdg mpaka hapo nitakaposajili yangu.
umo na umeona, na nikiona AC ya Bacha inaelemewa nitakuomba na wewe nitumie ur ACMimi simo wala sijaona
Sokomoko,
Inaonekana dhamira yako haikubaliani na tamaa inayowaka mwilini mwako. Hali kama hiyo mara nyingi hupelekea majuto makubwa sana hasa vitu vikienda vibaya kama vile ukipata gonjwa la zinaa. Ni vema ukafanya kitu kwa dhamira na si tamaa ya muda mfupi. Ushauri wangu ni kuwa ni bora usimtafune huyo dada maana faida za kufanya hivyo ni chache kuliko hasara hasa ukizingatia huna mapenzi nae tena. Alternatively, kaa chini tafakari na usikiliza nafsi yako inakwambia nini nauhakika itakukataza tu!
uamuzi wangu ni kutomtafuna na ili nifanikiwe hilo nimejipanga vilivyo usikhofu na amini huwa na enjoy na mtu ninaemfeel.
Kwa kwa kwa ................ Duh mabahati siyo. Watu mnapenda sana nyuchi.du man mabahati hayo.oya man kama hutaki kumpiga massage lete mm nimfanyie