St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
hivi kumbe unajua massage eeh.......:tonguez:
Mimi katika idara hiyo niko fit mpaka wananihonga ila kwa pretty faces huwa ninafanya free.
hivi kumbe unajua massage eeh.......:tonguez:
Nimeomba ushauri kama huna cha kunishauri then u better keep quite. Thanks anyway
good one:tonguez:Sokomoko,
Inaonekana dhamira yako haikubaliani na tamaa inayowaka mwilini mwako. Hali kama hiyo mara nyingi hupelekea majuto makubwa sana hasa vitu vikienda vibaya kama vile ukipata gonjwa la zinaa. Ni vema ukafanya kitu kwa dhamira na si tamaa ya muda mfupi. Ushauri wangu ni kuwa ni bora usimtafune huyo dada maana faida za kufanya hivyo ni chache kuliko hasara hasa ukizingatia huna mapenzi nae tena. Alternatively, kaa chini tafakari na usikiliza nafsi yako inakwambia nini nauhakika itakukataza tu!
Alikuwa demu wangu tangu msingi na kwa bahati nzuri tukachaguliwa shule ya serikali pamoja kwenda kidato kimoja. Nimesoma nae darasa moja kwanzia form 1 mpaka 4 na wakati ule tupo shule sikuwahi kum***** wakati tupo form 3 niliachana nae maana nilikuwa nasikia tetesi kunawatu wanakamua ila mie nikiomba mzigo ananiambia mpaka tukioana. Tumemaliza shule yapata miaka kumi na ushee sasa na tumekuwa na mawasiliano. Kama wiki mbili zilizopita dada yake aliingia kwenye kumi na nane zangu sikumwachia na alidiriki kunisifia kuwa mimi naweza. Ni juzi jumamosi alinitumia msg akisema anahamu nimfanyie massage na mie nikamwambia poa haina kwere. Nilipomuuliza angependa nimfanyie lini alisema leo leo lakini yupo kwenye pm na kupendekeza bora tufanye siku ya birthday yake ili iwe zawadi kwake. Mimi sina tena mapenzi ya kweli na huyu dada, na ndugu yake shetani tu alikuwa amenikaa sasa wadau mnanishauri nini maana basdei ya huyu shori bado kama siku sita tu.
Alikuwa demu wangu tangu msingi na kwa bahati nzuri tukachaguliwa shule ya serikali pamoja kwenda kidato kimoja. Nimesoma nae darasa moja kwanzia form 1 mpaka 4 na wakati ule tupo shule sikuwahi kum***** wakati tupo form 3 niliachana nae maana nilikuwa nasikia tetesi kunawatu wanakamua ila mie nikiomba mzigo ananiambia mpaka tukioana. Tumemaliza shule yapata miaka kumi na ushee sasa na tumekuwa na mawasiliano. Kama wiki mbili zilizopita dada yake aliingia kwenye kumi na nane zangu sikumwachia na alidiriki kunisifia kuwa mimi naweza. Ni juzi jumamosi alinitumia msg akisema anahamu nimfanyie massage na mie nikamwambia poa haina kwere. Nilipomuuliza angependa nimfanyie lini alisema leo leo lakini yupo kwenye pm na kupendekeza bora tufanye siku ya birthday yake ili iwe zawadi kwake. Mimi sina tena mapenzi ya kweli na huyu dada, na ndugu yake shetani tu alikuwa amenikaa sasa wadau mnanishauri nini maana basdei ya huyu shori bado kama siku sita tu.
asikwambie mtu ukifanya ngono baada ya masaji ni tamu sana. Unaweza ukamwaga kikombe cha chai kikajaa!
noted
Tafuna : AIDS imeshapata TIBA!
unajua kiongozi mambo mengine ni binafsi sana,basi hata ikitokea siku nyingine unajiuliza jinsi ya kumtafuna mkeo njoo tena jukwaani tukushauri!hayo ni maamuzi yako binafsi kutegemeana na dhamira yako inavyokutuma!Hata nikisema tafuna, na mwingine akisema usitafune sidhani kama itakusaidia kitu!Tafuta mke uoe kijana!
Habari ya asubuhi mpwa??????