nawashangaa eti hamuwapendi wavuta sigara wakati mnaenda kwa makahaba na vyangudoa ambao wanavuta bangi na mnapiga kazi bila wasiwasi
Si tunavumilia tu!!
nawashangaa eti hamuwapendi wavuta sigara wakati mnaenda kwa makahaba na vyangudoa ambao wanavuta bangi na mnapiga kazi bila wasiwasi
Yeah mkuu_ni uvumilivu tu....kuna mdada tuko naye jengo moja hapa ninapobrash na kushona viatu(ofcoz in imported kutoka cameroon)seem to be classic anavuta sigara kama hana akili nzuri,....Si tunavumilia tu!!
na wewe nawe una allegy na pombe_bila shaka utakuwa unatumia dope mkuuSigara huharibu afya!... zaidi ya hapo sioni tatizo lolote!, actually heri mdada avute bangi kuliko kuwa mlevi!! I hate that!!
mwee mi napita na logg off
avator yako haifananii na wavuta sigara bhanammmh...sasa itakuwaje jamani....naombeni basi dawa ya kuacha......
ina maana wote mliochangia hapo juu mnanichukia eeh....
niko nyuma yako!mi napenda kuvuta sigara.
ahhh sigara taaaamu jaman...mfanoe sina....!!!!!
tena sigara kali...nyota babu ahh kwa raha zangu sihitaji uturi mie ...nikishalipuliza basi inakuwa two in one...starehe na umaridadi wa harufu...!!!!!
niko nyuma yako!
yaani mimi demu kama ni mvuta sigara hata akinipa bure simchapi kabisa!!!!! napataga kinyaa kabisa nikishamuona mtu anavuta sigara
Ha ha ha!Be carefull huyo dada sasa ni supermoderator!kuna member wa hili jukwaa anaitwa Russian Roulette kaweka avator ya mdada kashika mpodo(sigara) sijui ni gamuma(bangi) nikiiangalia hiyo avator yake sipati jibu,sijui anapata au anatumia hii kkitu auni avator tu kaweka. mi binafsi nachukia sana hii tabia. Ila kwa mkoa wa Tabora kumkuta mwanamke anagonga fegi ni kitu cha kawaida sana tena sana kule kwa walima tumbaku . tena fegi inasokotwa kwenye kipande cha gazeti, kule kipande cha gazeti ni dili sana.