Kitu kinaweza kikawa kibaya kwako lakini ni starehe kwa mtu mwingine, kwako kuvuta sigara ni tatizo lakini kufanya ngono zembe isiwe tatizo kwako lkn kwa mtu mwingine ni tatizo hata kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa.
Kuhusu SIGARA NJOO ULAYA UKAJIONEE MWENYEWE, KWANI ASILIMIA 90 YA WANAWAKE WANAVUTA SIGARA, sasa hawa nao wangekuwa wanachukiwa na watu wengi kiasi hicho sijui ingekuwaje.
Kuhusu SIGARA NJOO ULAYA UKAJIONEE MWENYEWE, KWANI ASILIMIA 90 YA WANAWAKE WANAVUTA SIGARA, sasa hawa nao wangekuwa wanachukiwa na watu wengi kiasi hicho sijui ingekuwaje.