ile ya wababa wa kichaga kutembea na binti zao imeishia wapi?
siyo matusi mbona lugha ya watu hyo.
Kama kuna jambo nafurahi na kujivunia ni kuwa mchaga wa mmachame !
Huyo binti wa Kimarekani!Umeonaeeee!!!
halafu avatar yako kiboko. huyu mtu ni jinsia gani?
Kushona Viatu, shoe shiner,Maduka,Baa,Na kupara miwa nasikia wameshika kijiti No1Eti ni kweli wachagga wanapenda sana Escudo na kujenga Mbezi kimara?
Na ni kwanini?
Au kwavile Escudo haili mafuta, Na Mbezi kimara iko Karibu na Moshi
ha ha ha ha ha ha ha haaa- Hii inafaa sana kule kwenye Jokes japo ni kweli.