Ukiambiwa Ubungo, Kimara, Mbezi hadi Goba palikuwa kwa Wazaramo hutoamini

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Ukiambiwa Ubungo, Kimara, Mbezi hadi Goba palikuwa kwa Wazaramo hutoamini wazaramo waliendaga wapi?

Ukiambiwa Ubungo yote hadi Kibamba paliwahi kuwepo wazaramo hutoamini

Makongo juu hadi Mbezi Beach na Mikocheni na Mlimani ukiambiwa paliwahi kuishi watu wanaoitwa Wazaramo utakataa kukubali.

Aisee kuna jamii zinapotea kwa kasi mno! Ni ngumu kwa Ubungo, Kimara, Goba, Mbezi au Kibamba kukuta kaya ya kizaramo ni ngumu sana.

Huku pametawaliwa na jamii nyingine kabisa mfano Kimara, Ubungo,mbezi hadi Kibamba utadhani ni jimbo la mkoa wa Kilimanjaro maana majority ni wachagga na wapare.

Ni rahisi sana kwa Chanika, Mbagala au Temeke kufanana na mzaramo lakini sio Goba au Mbezi despite kuwa waliwahi kuwepo hapo awali.

Hivi Wazaramo wote waliopotea Dar waliendaga wapi?
 
Mbona wapo tena wengi tu, ila kwamba wanaishi simple life sio watu wakujionyesha, hawana magorofa hawana maduka makubwa hawamiliki magari, ila wapo, sio kama watu wa mikoani anamiliki to plot ya 20×20 wanaweka mpaka electrical fence na alarm zinapiga kelele siku nzima. Napenda sana maisha ya wazaramo wako down to earth and very communal.
 
Mbona wapo tena wengi tu, ila kwamba wanaishi simple life sio watu wakujionyesha, hawana magorofa hawana maduka makubwa hawamiliki magari, ila wapo, sio kama watu wamikoani anamiliki to plot ya 20×20 wanaweka mpaka electrical fence na alarm zina piga kelele siku nzima. Napenda sana maisha ya wazaromo wako down to earth and very comnunal.
Unyonge haujawahi kuwa mzuri
 
Hapo Kuna vitu viwili.. Kun kitu kinaitwa "bottom of the structure" na kingine ni "Nature of the city" interns of economy and social insecurity and vulnerability towards those who appear to the bottom.
Mkuu mimi binafsi sikuelewa fafanua zaidi ili ueleweke whats bottom of the structure?...... which are the interns of the city?
 
Wachaga mna ubinafsi sana. Lengo ulitaka kutambukika wilaya ya ubungo ni ya walevi, wezi, matapeli, wazumaji na wadangaji.

Wazaramo Kwa kuwa ni waadilifu wakaamua kupusha wajinga ili wasogee kwenye jamii zilizostarabika.
 
Wapo wengi tu.

Ila wazaramo ni kabila moja waelewa sana, wanapoona wao hawawezi basi wanakaribisha mgeni nae afanye tena wanampa full support, tofauti na hao wageni aliowakaribisha.

Wao huko kwao wana ubaguzi wa hali ya juu, mgeni kufanikiwa huko anawekewa kauzibe na wazawa wazaramo wako poa sana aisee.

Laiti kama nchi ingekuwa na tabia ya ukarimu ya hawa watu basi mikoa yote ingepiga hatua.
 
Hizo jamiii nyingine zingekuwa na maana si wangeanza kujenga huko Makawao kwanza?? Maana mpaka mnakimbilia wa jamii ya wazaramo kung'ang'ania kuishi inamaanisha walikwisha waacha mbali! Wanachokifanya ni muendelezo wa ustaarabu wa watu wa pwani hekima iliyotumika kuwakaribisha ndo inayotumika kuwapisha wanaenda kuendeleza miji mingine!
 
Ukiambiwa Ubungo, Kimara, Mbezi hadi Goba palikua kwa Wazaramo hutoamini wazaramo waliendaga wapi?

Ukiambiwa Ubungo yote hadi kibamba paliwahi kuwepo wazaramo hutoamini

Makongo juu hadi Mbezi Beach na mikocheni na mlimani ukiambiwa paliwahi kuishi watu wanaoitwa Wazaramo utakataa kukubali

Aisee kuna jamii zinapotea kwa kasi mno! Ni ngumu kwa ubungo kimara goba mbez au kibamba kukuta kaya ya kizaramo ni ngumu sana

Huku pametawaliwa na jamii nyingine kabisa mfano Kimara, Ubungo,mbezi hadi Kibamba utadhani ni jimbo la mkoa wa Kilimanjaro maana majority ni wachagga na wapare

Ni rahisi sana kwa Chanika, Mbagala au Temeke kufanana na mzaramo lakini sio Goba au mbezi despite kuwa waliwahi kuwepo hapo awali

Hivi Wazaramo wote waliopotea Dar waliendaga wapi?
Pia ukiambiwa kuwa vilikuwa vijiji vya Wazaramo hutoamini.

Ila sasa ni mji tena JIJI la watu wote
 
Wapo wengi tu.

Ila wazaramo ni labila moja waelewa sana, wanapoona wao hawawezi basi wanakaribisha mgeni nae afanye tena wanampa full support, tofauti na hao wageni aliowakaribisha.

Wao huko kwao wana ubaguzi wa hali ya juu, mgeni kufanikiwa huko anawekewa kauzibe na wazawa wazalamo wako poa sana aisee.

Laiti kama nchi ingekua na tabia ya ukarimu ya hawa watu basi mikoa yote ingepiga hatua.
Imagine wachaga asili yao ingekuwa Dar..!🤣🤣🤣tungejua hatujui
 
Imagine wachaga asili yao ingekuwa dar..!tungejua hatujui
Omba Mungu jirani yako kwenye makazi ya kuishi asiwe mchagga, hao watu wana tamaa ya pesa, leo kaanziisha bar, uko anafuga nguruwe, mbuzi, kuku, hapo hapo ana duka la rejareja lakini pamoja na kuangaika kwote pesa zakurudisha maiti Moshi akifa ni za kuchangiana, pamoja na tamaa wana maliza maisha wakiwa wa kawaida laana za udhurumaji zina watafuna, sio watu wakulinganisha na jamii ya wazaramo walio staarabika.
 
Omba Mungu jirani yako kwenye makazi ya kuishi asiwe mchanga, hao watu wana tamaa ya pesa, leo kaanziisha bar, uko anafuga nguruwe, mbuzi, kuku, hapo hapo ana duka la rejareja lakini pamoja nakuangaika kwote pesa zakurudisha maiti Moshi ni za kuchangiana, pamoja na tamaa wana maliza maisha wakiwa masikini na laana za udhurumaji, sio watu wakulinganisha na jamii ya wazaramo walio starabika.
Kabisa kwenye utapeli hapo ni hatari ukifanya kazi na mchaga kaa mkuu pande chochote kinaweza kutokea..
 
Back
Top Bottom