Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
hadithi hii inatufundisha nini????
DOuble cabin ya TOYOTAEti ni kweli wachagga wanapenda sana Escudo na kujenga Mbezi kimara?
Na ni kwanini?
Au kwavile Escudo haili mafuta, Na Mbezi kimara iko Karibu na Moshi?
ha ha ha ha ha ha ha haaa- Hii inafaa sana kule kwenye Jokes japo ni kweli.
Kuna mchaga mmoja nahisi anataka kuhama kabila........ maana ana RAV4 nyeusiNdo nini kufanya location calling mshiki?........Hivi hii Vitara yangu ndo mnaiita Escudo au?
Kuna siku nilishangaa kwa nini Dar express kuna wakati huwa inaingia Ubungo haina watu.............. kumbe iliowabeba wote wachaga na walishashuka KimaraKimara yooote mpaka Mbezi ni wao. wakienda/kurudi moshi wanmalizia kila ktu maeneo ya kwao hawahitaji kwenda Ubungo
kikwete njoo ufanyiwe maombi....hadithi hii inatufundisha nini????
siyo matusi mbona lugha ya watu hyo.
Eti ni kweli wachagga wanapenda sana Escudo na kujenga Mbezi kimara?
Na ni kwanini?
Au kwavile Escudo haili mafuta, Na Mbezi kimara iko Karibu na Moshi?
ha ha ha ha ha ha ha haaa- Hii inafaa sana kule kwenye Jokes japo ni kweli.
Eti ni kweli wachagga wanapenda sana Escudo na kujenga Mbezi kimara?
Na ni kwanini?
Au kwavile Escudo haili mafuta, Na Mbezi kimara iko Karibu na Moshi?
ha ha ha ha ha ha ha haaa- Hii inafaa sana kule kwenye Jokes japo ni kweli.
Eti ni kweli wachagga wanapenda sana Escudo na kujenga Mbezi kimara?.