Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Tunaomba Serikali iweke matuta kwenye barabara hii maana ujenzi haukuzingatia watumiaji wengine zaidi ya magari japo barabara yenyewe imekuwa kero hata kwa wenye magari.
Sehemu zinazotakiwa kuwekewa matuta kipaumbele ni zifuatazo
1. Kimara stop over
2. Kimara suka kwenye mataa
3. Kimara suka karibu na kivuko cha wapita kwa miguu
4. Temboni
5. Kwa Msuguri
6. Kibanda cha mkaa
7. Luguruni
8. Kibamba hospitali
9. Kibamba kwa yusuph
10. Sehemu zote zenye vituo vya mabasi
Kumekuwa na ajali nyingi sana kutokana na barabara kujengwa chini ya viwango
Kuweka matuta itasaidia kupunguza ajali nyingi na kuokoa maisha ya watu.
Sehemu zinazotakiwa kuwekewa matuta kipaumbele ni zifuatazo
1. Kimara stop over
2. Kimara suka kwenye mataa
3. Kimara suka karibu na kivuko cha wapita kwa miguu
4. Temboni
5. Kwa Msuguri
6. Kibanda cha mkaa
7. Luguruni
8. Kibamba hospitali
9. Kibamba kwa yusuph
10. Sehemu zote zenye vituo vya mabasi
Kumekuwa na ajali nyingi sana kutokana na barabara kujengwa chini ya viwango
Kuweka matuta itasaidia kupunguza ajali nyingi na kuokoa maisha ya watu.