Wachaga wanaweza kuleta maendeleo

Una vigezo vyovyote visivyo na shaka? Au ndo kivile stori za vijiweni?
Kama maelezo yenu yana akili yeyote mbona huku Uswazi kuna wafanyabiashara matajiri na PhD holders etc kutoka hayo makabila mnayoyadharau while in contrast kuna wachaga wengi tu wavuta bange, wapiga debe, vibaka, wazoa taka, wachimba mitaro etc? Au huko kwenu hawapo?
Jibu Tafadhali.

Hao wavuta bangi, wapiga debe, vibaka, wazoa taka, wachimba mitaro n.k. watafute baada ya miaka kadhaa uone hatua walizopiga. Kazi ni kazi ili mradi una malengo nayo.
 
kwani wakere wamefanya nini?
tuwape wachaga tuone .... duh lazima hata kiti cha wakuteuliwa nikalie looh
yeleeeeeeewwwwwwwwwiii
 
Fanya kazi zote duniani, lakini usiwe mwalimu. Unatia aibu. Umewahi kufika Khazastan?
Mimi nimezaliwa Dar, kwa hiyo mi ni mzaramo?.... ukimchkua mtoto wa miezi miwili wa kichaga ukaenda kumkuza nyamtumbo, halafu umchukue mtoto wa miezi miwili wa nyamtumbo ukamkuzie kibosho. Halafu wakiwa 18yrs niambie yupi ni mkibosho na yupi ni mnyamtumbo.
Nyinyi ndio mnaoturudisha nyuma .... ndio maana hamwezi kuchukua nchi.

Soma vizuri nilichoandika.
 
nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?


Unaonekana umefilisika kimawazo nchi hii haiongozwi kikabila hao wachaga unao wasema kama wanaweza uongozi wa wakagombee ila hatuwezi tukawapa watu uongozi kwa sababu ya kabila, dini au sehemu anayotoka next time ukitaka kutuma topic fikiria kwanza kabla ya kutuma sio unakurupuka.
 
Hii ni ajabu kuona mtu mzima na kamillifu analeta hadithi za ukabila. Wachaga si wazuri sana kiasi hicho. wao wameshika ofisi nyingi za serikali na hivyo kupata fursa nyingi ndani ya nchi hii. Wengi wao ndio mafisadi wa nchi hii kwani kila ofisi ya serikali unafanyika wizi na wachaga ndio wengi tena wanaongoza idara zilizo nyingi.
Ukweli ni kwamba uchapa kazi wa mtu hauzingatii kabila isipokuwa maandalizi kielimu na kimaadili kisha yeye mwenye ajitume kutumikia watu. Hili si wachaga pekee bali makabila yote ya Tanzania yakisomeshwa vyema yanaweza kufanya vizuri na kwa uadilifu kuliko wachaga.
Najua utauliza kwa nini wachaga wanaonekana kusoma kuliko wengine? Hili ni tatizo la kihistoria kwani kuna maeneo ndani ya nchi hii wakoloni walijenga shule na hivyo watu wa maeneo hayo kusoma zaidi ya wengine ambao maeneo yao hazikujengwa shule kabisa. Maeneo hayo ni yale walioanzisha mashamba kama Kilimanjaro, Musoma na Mbinga.
 
mm nimezaliwa uchagani na nimekulia uchagani na ninatabia za kichaga (kuchapa kazi)UKWELI NI KWAMBA WACHAGA NI WACHAPAKAZI HODARI SN NA SIJUI KM KN KABILA TZ LINALOWAKUTA, ukimpa mchaga elf 10 km mtaji atauza karanga, akiona biashara hailipi atauza mayai faida atakayopata atafungua mradi mwingne ndaniya mwaka utakuta kazalisha mil. 2 kwa elf 10, HAWA JAMAA NIWACHUMI BY NATURE, URAIS wanaweza ila kila mchaga atataka UWAZIRI WA FEDHA.

usisahau wanauwezo wa kuvunja magodown pia
 
dah! Mchagga akishika nchi,makao makuu ya TRA lazima yawe Moshi.
Alafu lazima Mbegge ipewe adhi ya kuwa kinywaji cha asili ya Wa-Tz.
Pia ndizi ndio kitakuwa chakula asili ya Tz.
Alafu noti zote lazima ziwe na alama ya mgomba na masale.

We bwana umenichekesha hakuna mfano
 
lakini tujiaandae kwanza moshi kuwa jiji la biashara ndio na huko kwingine kutafuata..
 
Ila tukiacha ushabiki ,wachaga wako smart sana nimebahatika kuzunguka hapa nchini nilipofika uchagani hawa jamaa nimewanyooshea mkono,wanaamini ktk kazi hata kama kijana ni mbumbumbu ile reaction anayoipata kutoka kwa wenzake ata-fight mpaka kieleweke,na haya mambo ni karama huwezi kuyatoa kwao,ni sawa leo useme brazil hawajui kucheza soka wakati kule kwao ni vitu vya kawaida kuwa na mchezaji bora wa dunia,si kwamba wachaga wote wajanja ila wengi wao wako smart,hata ulaya kuna maskini lakini wanauchumi mzuri.mchaga akifeli darasani ni ngumu kufeli maisha lazima kitaeleweka tu.
 
Hili jambo linaweza kuchukuliwa kiutani lakini kisayansi lina ukweli. Moja ya tofauti kati ya binadamu na wanyama ni kwamba wanyama wana "species" nyingi wakati binadamu ni species moja tu. Sasa ukiangalia utakuta wanyama wanapishana uwezo wa kiakili kulingana na species zao, mfano paka ana uwezo wa kiakili kuliko mbuzi au sokwe ana uwezo kumzidi ng'ombe. Binadamu na sisi kwenye uwezo wa akili au tabia fulani tumegawanyika kutokana na makabila na hata rangi. Inakera lakini ndiyo ukweli, kwa mfano ukipewa nafasi moja ya kupeleka mtu jeshini halafu ukaambiwa uchague kati ya Mpare na Mkurya ni wazi kuwa utachagua Mkurya au ukiambiwa umuendeleze kielimu Mzaramo au Mnyakyusa ni wazi utachagua Mnyakyusa.
Sasa haya mambo ni ya kweli kwa sababu ushahidi upo ila watu wanaukataa ukweli kwa sababu za kisiasa tu zinazodai binadamu wote ni sawa na hivyo wapewe fursa sawa. Ukitaka ushahidi mwingine tafuta mtu aliyefika Johannesburg wakati wazungu wanatawala na jinsi ilivyo leo halafu utaelewa vizuri.
Nina hakika kwa maoni haya nitasulubiwa hapa.

hahahahahahahahahahahah...umenichekesha hapo kwenye red mkuu!!!
huwezi sulubiwa mkuu uko sahihi, hatuwezi kuwa sawa tofauti ipo kama ulivyoeleza ishu ya usawa ni siasa tuuu...
aliyekuzidi amekuzidi tuu, mpe nafasi akufanyie kazi...ndugu zetu wachaga wako mbali hilo lazima tukubali kwa 7bu ndio ukweli wenyewe...
 
Achane ukabila. Wachaga walipewa elimu mapema kuliko makabila mengi ya Tanzania. Wao ndio mafisadi wa nchi hii kwani wamejaa ofisi karibia zote na ni wachakachuzi wazuri hivyo haishangazi kuwaona wanaendelea kuliko baadhi yetu. Wao wanamtaji sisi hatuna.
 
Fanya kazi zote duniani, lakini usiwe mwalimu. Unatia aibu. Umewahi kufika Khazastan?
Mimi nimezaliwa Dar, kwa hiyo mi ni mzaramo?.... ukimchkua mtoto wa miezi miwili wa kichaga ukaenda kumkuza nyamtumbo, halafu umchukue mtoto wa miezi miwili wa nyamtumbo ukamkuzie kibosho. Halafu wakiwa 18yrs niambie yupi ni mkibosho na yupi ni mnyamtumbo.
Nyinyi ndio mnaoturudisha nyuma .... ndio maana hamwezi kuchukua nchi.

mkuu kuzaliwa DAR hakukufanyi kuwa mzaramo, mbona wengi tuu wamezaliwa hapo Ocean Road na wana makabila yao...
wape nchi wakuongoze, wanaweza...
 
mm nimezaliwa uchagani na nimekulia uchagani na ninatabia za kichaga (kuchapa kazi)UKWELI NI KWAMBA WACHAGA NI WACHAPAKAZI HODARI SN NA SIJUI KM KN KABILA TZ LINALOWAKUTA, ukimpa mchaga elf 10 km mtaji atauza karanga, akiona biashara hailipi atauza mayai faida atakayopata atafungua mradi mwingne ndaniya mwaka utakuta kazalisha mil. 2 kwa elf 10, HAWA JAMAA NIWACHUMI BY NATURE, URAIS wanaweza ila kila mchaga atataka UWAZIRI WA FEDHA.

hahahahahahahahahah...
in red, bila shaka na wewe utakuwa miongoni mwao...
 
nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?

Ukabila huo, Mbona wahaya nao wana maendeleo, Pia Wanyakyusa, Bila kusahau Wakurya na Wasukuma... Hao pia wanafaa kupewa nchi waiongoze si lazima wachaga, Yeyote yule mzalendo anaweza! Unaweza mpa mchaga kumbe alificha makucha na wala si mzalendo hapo ndo utajuta, Kwanza Jiulize hayo uliyoyaona huko kwao sijui machame, marangu wamevipataje, huenda utakuta ni kupitia ufisadi au ujambazi ... Think outside the box .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom