Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
Hivi Ujinga mtaacha lini? Hivi Mrema siyo Mchagga? Lowassa (FISADI #1) siyo Mchagga?
Ebu ondoa Upuuzi wako hapa
kaka acha pumba,fanya utafiti, lowasa ni mmasai
Hivi Ujinga mtaacha lini? Hivi Mrema siyo Mchagga? Lowassa (FISADI #1) siyo Mchagga?
Ebu ondoa Upuuzi wako hapa
dah! Mchagga akishika nchi,makao makuu ya tra lazima yawe moshi.
Alafu lazima mbegge ipewe adhi ya kuwa kinywaji cha asili ya wa-tz.
Pia ndizi ndio kitakuwa chakula asili ya tz.
Alafu noti zote lazima ziwe na alama ya mgomba na masale.
kwa hiyo jk alipewa kwa kuwa anauwezo wa kuuza sura enhee..
fafanua mkuu...
mkweree anajua kuuza sura.
Ukabila huo, Mbona wahaya nao wana maendeleo, Pia Wanyakyusa, Bila kusahau Wakurya na Wasukuma... Hao pia wanafaa kupewa nchi waiongoze si lazima wachaga, Yeyote yule mzalendo anaweza! Unaweza mpa mchaga kumbe alificha makucha na wala si mzalendo hapo ndo utajuta, Kwanza Jiulize hayo uliyoyaona huko kwao sijui machame, marangu wamevipataje, huenda utakuta ni kupitia ufisadi au ujambazi ... Think outside the box .....
chaaa! Icho nyi kindo kyewesa se?
wewe nawe!lowassa mchaga!!?uwe na uhakika na unachoandika hapa jamvini.lowasa ni mmasai
Wale wamezoea kucheza bao na viduku. Ukileta midundiko au taarab a.k.a mipasho hapo ndo kisa cha mbayuwayu....
Ni wkt wa kuwa na chaguo imara la kuiongoza nchi maana Nyerere alitupiga changa la macho kwa kweli!
mkuu unazungumzia uwezo, lakini ilishanenwa kitambo hayo makabila kwenye red tusiyape nchi yatuongoze huoni kwamba huo ni ukabila kubagua baadhi ya makabila kutoongoza nchi yao???
Hamna kabila linaloongoza nchi, nchi inaongozwa na mtu na wala hukuna uhusiano na kabila lake tuache uzindaki....
Hizi ni myth tu mkuu, na hazija ishia hapo tuHili jambo linaweza kuchukuliwa kiutani lakini kisayansi lina ukweli. Moja ya tofauti kati ya binadamu na wanyama ni kwamba wanyama wana "species" nyingi wakati binadamu ni species moja tu. Sasa ukiangalia utakuta wanyama wanapishana uwezo wa kiakili kulingana na species zao, mfano paka ana uwezo wa kiakili kuliko mbuzi au sokwe ana uwezo kumzidi ng'ombe. Binadamu na sisi kwenye uwezo wa akili au tabia fulani tumegawanyika kutokana na makabila na hata rangi. Inakera lakini ndiyo ukweli, kwa mfano ukipewa nafasi moja ya kupeleka mtu jeshini halafu ukaambiwa uchague kati ya Mpare na Mkurya ni wazi kuwa utachagua Mkurya au ukiambiwa umuendeleze kielimu Mzaramo au Mnyakyusa ni wazi utachagua Mnyakyusa.
Sasa haya mambo ni ya kweli kwa sababu ushahidi upo ila watu wanaukataa ukweli kwa sababu za kisiasa tu zinazodai binadamu wote ni sawa na hivyo wapewe fursa sawa. Ukitaka ushahidi mwingine tafuta mtu aliyefika Johannesburg wakati wazungu wanatawala na jinsi ilivyo leo halafu utaelewa vizuri.
Nina hakika kwa maoni haya nitasulubiwa hapa.
Familia yake ina asili ya Uchagga mkubwa.
Hizi ni myth tu mkuu, na hazija ishia hapo tu
Kuwa wachaga ni wakabila kupindukia, yaani mchaga ndugu yake ni mchaga tu, na ndio maana akiwepo boss sehemu atajaza wenzake tu wengine hamna chenu.
Mchaga yupo tayari kufanya lolote kupata hela, na ndio maana wanaongoza kwa ujambazi na makampuni ya kitapeli
Usioe mwanamke wa kichaga ukifanikiwa anakupoteza arithi mali.
Wasipewe uongozi wa nchi maana watageuza sehemu ya biashara kujipatia mali badala ya kuongoza and the list goes on
list ya myth ipo nyingi tu,
Do you agree with it?
nilicho maanisha mkuu ni kama alichofanya Mramba pale TRAMkuu nikubushie kidogo kwenye red.....mchaga ndugu yake Mbesa msee wangu......huko mbesa oriented na wala huoneshi dalili na juhudi mnapishana njia
Nina jamaa yangu mmoja aliwahi kutemana na rafiki yake mchaga walikuwa wanakaa room moja nilipomuuliza sababu akasema anashangaa ni mchaga wa wapi yuko kama kupe wala haonyeshi juhudi ya kujishughulisha na anataka tu kunyonya wengine...........common denominator yao ni mbesa tu msee wangu
nilicho maanisha mkuu ni kama alichofanya Mramba pale TRA