Kila mbunge wa jamuhuri anatakiwa kuweka cv yake kwenye mtandao wa bunge. Cha kushangaza wabunge wengi wa chadema wamesusa.
Utafiti umebaini kuwa walioficha wengi cv zao ni mgogoro.
Wa kwanza ni John Mnyika. Yeye aliwahi kudanganya eti ana one ya point tatu form six lakini kukweli ni kwamba alifeli form six na hana digree.
Sasa hii ni hatari hailingani na kupayuka kwa Mnyika katika kila jambo kumbe ni ukasuku wa internet na kupewa miongozo na conservative party pamoja na dhlakama wa renamo ambao kwa sasa ni washauri wa karibu wa chadema.
Wekeni wasifu wenu jamani tuwafahamu msije mkatuuzia vibudu kwenye magunia
Utafiti umebaini kuwa walioficha wengi cv zao ni mgogoro.
Wa kwanza ni John Mnyika. Yeye aliwahi kudanganya eti ana one ya point tatu form six lakini kukweli ni kwamba alifeli form six na hana digree.
Sasa hii ni hatari hailingani na kupayuka kwa Mnyika katika kila jambo kumbe ni ukasuku wa internet na kupewa miongozo na conservative party pamoja na dhlakama wa renamo ambao kwa sasa ni washauri wa karibu wa chadema.
Wekeni wasifu wenu jamani tuwafahamu msije mkatuuzia vibudu kwenye magunia