Wa kwanza ni John Mnyika. Yeye aliwahi kudanganya eti ana one ya point tatu form six lakini kukweli ni kwamba alifeli form six na hana digree.
Ulivyosema mnyika alifeli form six mwaga uthibitisho wa matokeo yake, umekataa kuwa hana degree eleza ana hold nini, halafu unaweza kumfananisha mnyika na mbumbumbu gani wa nyinyiem?ole sendeka,lusinde,maji marefu,komba n.k wahahold kitu gani?
Kila mbunge wa jamuhuri anatakiwa kuweka cv yake kwenye mtandao wa bunge. Cha kushangaza wabunge wengi wa chadema wamesusa.
Utafiti umebaini kuwa walioficha wengi cv zao ni mgogoro.
Wa kwanza ni John Mnyika. Yeye aliwahi kudanganya eti ana one ya point tatu form six lakini kukweli ni kwamba alifeli form six na hana digree.
Sasa hii ni hatari hailingani na kupayuka kwa Mnyika katika kila jambo kumbe ni ukasuku wa internet na kupewa miongozo na conservative party pamoja na dhlakama wa renamo ambao kwa sasa ni washauri wa karibu wa chadema.
Wekeni wasifu wenu jamani tuwafahamu msije mkatuuzia vibudu kwenye magunia
Ni aheri jiwe kuliko...toka lini jiwe likawa na cv? Wengi wao ni mbumbumbu wanategea nguvu ya umma
Ni aheri jiwe kuliko...
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
sikiliza we gamba uliyetumwa na nape.kidato cha kwanza mpaka cha nne mnyika kasoma maua seminary alipata dv one ya point 7,alikuwa na a 9 na b moja,kidato cha sita alipata dv two lakini sio maua,kifupi jamaa zimo.kwa hiyo tuondolee umbeya wako.gamba mkubwa wewe,shame on you!kila mbunge wa jamuhuri anatakiwa kuweka cv yake kwenye mtandao wa bunge. Cha kushangaza wabunge wengi wa chadema wamesusa.
Utafiti umebaini kuwa walioficha wengi cv zao ni mgogoro.
Wa kwanza ni john mnyika. Yeye aliwahi kudanganya eti ana one ya point tatu form six lakini kukweli ni kwamba alifeli form six na hana digree.
Sasa hii ni hatari hailingani na kupayuka kwa mnyika katika kila jambo kumbe ni ukasuku wa internet na kupewa miongozo na conservative party pamoja na dhlakama wa renamo ambao kwa sasa ni washauri wa karibu wa chadema.
Wekeni wasifu wenu jamani tuwafahamu msije mkatuuzia vibudu kwenye magunia
Hao wenye cv za maana wanafanya mambo gani ya maana kumzidi Mnyika. Punguza kupayuka ufiche upumbavu wako:A S thumbs_down:
Nipe cv ya John komba na Prof Maji marefu na pia Aden Rage.
Hao wenye cv za maana wanafanya mambo gani ya maana kumzidi Mnyika. Punguza kupayuka ufiche upumbavu wako:A S thumbs_down: