Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

Status
Not open for further replies.
Katika hili la umeme kwa kweli nimeona kuna wabunge vilaza..wanachojua best ni kusaini posho.

Imagine mbunge anasema weee mapungufu kibao kisha najua waziri wewe huna shida ila watendaji wako...hivi wabunge wa namna hii wanajua kazi ya waziri za wanafikiri ni ceremonial figure pale wizarani?

Jamani waziri ndio kiongozi wa wizara kwa maana ya kiongozi and nothing more. Kama wizara haifanyi shughuli zake vizuri it is simple kwamba leadership sio nzuri.

Ngaleja, naibu wake na PS wamefail kwenye hili mtu huitaji kuwa professor kujua hilo..ni kweli wataalamu wazarani ndio wameandaa bajeti ya wizara? Vp swala la sasa ktk upatikanji wa umeme je ni oversight?

watu wanacopy na kupaste bajeti za mwaka hata mwaka matokeo yake language ya Ngeleja for the last six years imekuwa ni ile ile...mikakati, upembuzi, miradi mikubwa, hatua za mwisho. Leo hali ya upatikanaji wa umeme ni mbaya kuliko miaka sita iliyopita.
 
Waungwana wa jf!.. salaamz!..
nimekutana na hii kitu kwenye facebook,naona watu wameamua kweli kujivua gamba!..
January's Profile · January's Wall


  • [h=6]January Makamba
    tweets: CCM MPs force government to withdraw Energy Ministry budget estimates. Govt to work on Energy Committee proposal for Emergency Plan.[/h]23 minutes ago via Selective Tweets
    • 14 people like this.



      • Nathan Chiume Kazi nzuri! 22 minutes ago ·



      • Adolph Sarah Milunga u must discipline ngereja, we dont want him on cabinet, he is a shame to us, the youths, hopeless, scum! 21 minutes ago ·



      • Kimossa Omary Kip it up braa hiyo tumeikubali 18 minutes ago ·



      • Emmanuel Joshua That's what we want,not daily MP'S fighting for allowances thing,we need more innovations n' creativity in solving the nation's great problems such as eletricity scarcity! 16 minutes ago ·



      • Erick Ngajilo hapo sawa tusingewaelewa 15 minutes ago ·



      • Steve Oloo that's excellent, coz by all accounts the budget estimates were going to be shot down anyways, I've never seen our mps so unanimously agree on something, much as this is gonna be interpreted by many as a damage control exercise, Ngeleja and his team should come up with something acceptable for all. And by the way Mheshimiwa you are doing a terrific job! Kudos Kaka. 14 minutes ago ·
      • Seif Abalhassan alt last!.. huku ndo kujivua gamba,kila siku mlikuwa rubber stamps tu!.. 14 minutes ago ·



      • Sem Kilonzo good news.... 13 minutes ago ·



      • Cyprian Musiba safi makamba 12 minutes ago ·



      • Linda Madeleka Halleluya! Now you are talking my broda! Kudos to all the MPs who supported the decision - irrespective of political ideologies! 9 minutes ago ·
      • Richard Galinoma hayo ndo tuliyoyataka ndo maana tukawaingiza vijana 6 minutes ago ·
      • Haidari Kassim Ndio uzuri wa technology, habari inatoka bado mbichi! 6 minutes ago ·
      • Gamal Junior kip up kijana 4 minutes ago ·
      • Modest Mkalawa We want him out please! 4 minutes ago ·
      • Frank Isaac This is wat we r lukin for.. country interest first braaa... pigana kijana u got your bak 4 minutes ago ·
      • James Urassa dgo kazi tuliyokupa ni kubwa,fanya kama tunavyotaka tuzidi kukuamini.big up 2 minutes ago ·





 
Mlio karibu fuatilieni TBC.

Ameamua kufanya majumuisho ya bajeti kwa niaba ya wizara, kwa sababu yeye ni kiongozi wa serikali bungeni. Hii ni mpya mwaka huu
 
Duh,

Bunge limeanza lakini badala ya hoja kuwasilishwa na Ngeleja imebidi asimame Waziri Mkuu kwanza na anadai ni suala nyeti itabidi yeye ndiye atangulie.
 
basi kama ni hivi basi bajeti inapita.....kikubwa aondoke huyo jairo na ngereja.....na bajeti irudiwe
 
ni kweli mkuu unayosema kwamba matatizo ya wizara hii yamekomaa, ila navyoona mimi tuanze ha huyu huyu ngeleja kwa sababu kaongoza wizara hii miaka zaidi ya 4, atatufaa kusaidia upelelezi.

Hili pia litawajengea heshima wabunge wa CCM, siyo kusema YES kwa kila kitu just because its comming from Serikali ya CCM kiasi hadi jamii inawaona wabunge wa CCM ni kama ma YES YES Mzungu kala fenesi.

I support this move - Bravo wabunge wa CCM kwa leo naona hata umeme ukikatika sintatukana tena.

Sawa, mtoeni Ngeleja lakini nawahakikishia hiyo haitakuwa tamati ya matatizo ya umeme. Si wote tupo hapa? Mtakuja kuniambia. Toa Ngeleja weka Mhandisi Mwandosya au mwingine yeyote yule mnayempenda halafu tuone.
 
Waziri mkuu kasimama na siasa nyingiiiii, hapa hakuna kitu. Wataipitisha kwa kishindo.
 
Ndiyo zile data na maazimio yao muda mfupi ulipita,jitihada za PM kuokoa Jahazi zinafanyiwa kazi sasa...pinda ndiye anahutubia Bunge badala ya Ngeleja kama mtangulizi
 
Sasa hii itasaidiaje kurudisha umeme?cha msingi waziri atoe tamko ni lini na kivipi umeme utakuwa wa kuaminika.kama hawezi aachie ngazi!!
Kesha sema swala la umeme litakuwa historia na kauli yake ni hiyo hiyo period,
 
Baada ya michango mingi kutoka kwa wabunge,toka ijumaa,kuchangia hoja ya waziri wa nishati na madini,waziri mkuu Mhe.pinda ameamua kutoa ufafanuzi juu ya mgao wa umeme.live bungeni.tbc1
 
hebu weka info za kutosha basi Mpwa? au wamekukatia ka umeme kao tayari??
 
Mhh!!!What does this imply, ni kwamba Ngeleja anakingiwa kifua au ni kitu gani kinachoendelea sielewi hapa
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom