Wabunge waagiza Serikali kuchunguza tuhuma za Wanajeshi kupiga na kutesa raia

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,379
8,123
1698657267746.png
Hatua hiyo inafuatia taarifa za Wanajeshi kuvamia makazi ya Watu Oktoba 29, 2023 na kuwajeruhi kwa vipigo ikidaiwa ni kulipiza kisasi kwa madai kuwa Wananchi wa eneo la Garu Kaskazini Mashariki mwa Ghana waliwashambulia Maafisa wa Vikosi vya Usalama wa Taifa waliokuwa wakipambana na ugaidi.

Pia, Wabunge wametaka Serikali kusitisha utaratibu wa wa Vikosi vya Jeshi hilo kulinda amani mitaani pamoja na kuwaachiwa Vijana wote waliokamatwa baada ya Uvamizi huo ambao umeripotiwa kuwaacha Raia zaidi ya 50 wakilazwa Hospitali kwa matibabu.

Hata hivyo, Wizara ya Usalama wa Taifa ya Ghana imekanusha madai hayo, ikisema operesheni ya usalama iliyofanyika katika eneo hilo ililenga kukamata Silaha zilizotumiwa na genge la wahalifu katika kuwashambulia Maafisa wake wiki iliyopita.

Ripoti mbalimbali kutoka katika Nchi za Afrika zimekuwa zikionesha Askari wa Majeshi ya baadhi ya Nchi wamekuwa Wakinyanyasa, Kuteka na Kuwatesa Raia kinyume na Sheria huku Mamlaka za Nchi hizo zikishindwa kuchukua hatua kudhibiti vitendo hivyo.

===========

In the quiet north-eastern region of Ghana, the town of Garu has been rattled by a storm of violence. A sudden military raid has reportedly left over 50 people hospitalized, and the community is reeling from the aftershocks. The military action, seemingly a reprisal attack following an assault on national security intelligence officers, has ignited a firestorm of outrage and drawn sharp criticism from local lawmakers.

Fear and Fury
According to local reports, the military operation in Garu was a response to an attack on national security personnel by a vigilante group. The Ministry of National Security has defended the military’s actions, stating that the operation was aimed at seizing weapons used in the assault. But for the residents of Garu, the military’s actions have crossed a line. They allege that the soldiers subjected civilians, particularly young men, to corporal punishment and physical assault, pushing the community into a state of fear. Images of individuals with lacerations and swollen faces circulated on social media, fueling the anger and defiance in the community and beyond.

Community Under Siege
In the aftermath of the raid, many men have reportedly fled Garu, seeking refuge in the nearby valley. The local representatives have joined the residents’ call for justice, demanding an immediate withdrawal of the military and the release of those arrested. They have also called for compensation for those injured in the reprisal attack, who are now receiving treatment at a local hospital. The incident has cast a spotlight on the delicate relationship between security forces and local communities, and the dire consequences when this relationship frays.

Rebuilding Trust
Public confidence in the institutions responsible for maintaining law and order is crucial for societal stability. This incident in Garu serves as a stark reminder of this, underscoring the need for accountability and transparency in security operations. The government’s response to the allegations of brutality will be instrumental in restoring this trust. This includes not just a thorough and impartial investigation into the incident, but also ensuring that the victims receive appropriate medical care and support, and that the grievances of the community are addressed.

As Ghana grapples with the complex challenges of maintaining peace, security, and respect for human rights, the incident in Garu paints a poignant picture of the underlying issues contributing to conflict and violence. It calls for a comprehensive approach to security that goes beyond military operations and addresses the root causes of unrest, such as poverty, social inequality, and youth unemployment.

BNN NETWORK/BBC AFRICA
 
Hii hata hapa Tanzania ipo mkoani Ruvuma, wilaya ya lusewa kata ya msisima.

Nimeenda uko, duuuh so poa watu hawana hamani kabisa😂😂
 
Back
Top Bottom