Wabunge wa Upinzani kutoka bungeni ni Utovu wa nidhamu - Kibonde (Clouds FM)

Ndivyo mabunge yote hufanya...hukimbii janga unakabiriana nalo kulia hakuwezi kuponya watu.
....we kaka vp? sasa wabunge watajadili vp au tume itaundwa vp wakati ajali bado inaendelea saa hizo? hata hivyo kumbuka ile ilikuwa hotuba ya wizara ya mambo ya ndani ikisomwa na waziri huyohuyo anayetakiwa ku order jeshi. sasa atafanyaje hayo akiwa bungeni, kaka?
kwa taarifa yako tume haiundwi katika kikao cha bunge bali huundwa na spika katika kamati maalumu na sio na wabunge wote! tafuta kanuni za bunge usome!
 
Nyie mlitaka awasifie ndio aonekane anafaa? Acheni hizo bana. Kwanini asifie upumbavu?
acha kusupport ujinga ww uwa namsilkiza uyu jamaa mara kwa mara anaboa sna kazi ni kujipendekea nyinyiemu bora ule mwenzake wasiwasi anaongeea poa ila jamaaa siyo
 
Kama ni kweli Kibonde atakuja kuiponza ile radio ya Kusaga...siku moja ikaingia beef na baadhi ya wana jamii au wanachama fulani sababu ya mdomo wake wa kuropoka!

mkuu hio haina maswali nikweli alisema ata mimi popobawa2012 nilimsikia. yaani lile domo na bichwa lake LIMEJAA woga, unafiki, urafi, kujikombakomba, kujisogeza kwa magamba, kutojiamin kwa uwezo wake, umbea na nahisi ata ushoga linataka pia! KIBARAKA SANA HUYU LAZIMA CKU YA KUUANGUSHA HUU UTAWALA NAE ACHAPWE
 
Nimemsikia Kibonde akiwa kwenye kipindi Clouds FM akiponda uamuzi wa Wabunge wa upinzani kutoka bungeni jana baada ya Spika Anne Semamba Makinda kupuuza hoja ya Mhe.Mbunge wa Wawi.

Natafuta kundi la kumuweka huyu Jamaa bado sijapata!..

Huyu jamaa anaumwa mwacheni kama alivyo...kudhibitisha kuwa anafanya kazi ya chama kapewa na kazi ya udalali pale Shirika la nyumba kututangazia nyumba za kupanga.
 
Keep it up Kibonde wape maneno yao hao na hadi leo wapo wabunge wa zenj wanataft usafiri yaone yalivyotoka jana bungeni kama makubwa J!
 
....we kaka vp? sasa wabunge watajadili vp au tume itaundwa vp wakati ajali bado inaendelea saa hizo? hata hivyo kumbuka ile ilikuwa hotuba ya wizara ya mambo ya ndani ikisomwa na waziri huyohuyo anayetakiwa ku order jeshi. sasa atafanyaje hayo akiwa bungeni, kaka?
kwa taarifa yako tume haiundwi katika kikao cha bunge bali huundwa na spika katika kamati maalumu na sio na wabunge wote! tafuta kanuni za bunge usome!
Wabunge wa Upinzani hawakutaka kuahirisha bunge, labda nikusaidie hivi. Soma hapa utaelewa vizuri Bofya

 
My 1st most message goes to Mr. Kusaga the employer of Kibonde, that please Joseph you must do either of the following against him, either issue him a verbal warning or let him go to joing CCM POLITICS. Please Kusaga do it for the future of our lovely radio station. If at all clouds is the peoples station then don't let it be destroyed by only one person for his political interest. By the way he is not so special as he thinks to be.
Coming to this this young boy so called Kibonde, naelewa fika kwamba unajaribu kutupa karata yako ili na wewe walau uteuliwe walau ukuu wa wilaya kama ilivyo kwa baadhi ya wanahabari wenzio. Nakuhakikishia Kibonde utapoteza umaalufu wako soon. Then yot won't be fitting in both media and politics and if u think you are smart try excersing politics and more. I started observing you since the incident of Dr. Ulimboka in fact you have tried hard to critisize the majority opinions just to be on CCM side. Ok we don't mind but please be a media person and follow your profession ethics than being a politician. Pleas please.

mkuu umesema kweli kabisa, siku za karibuni Kibonde alitoa kauli zinazoonyesha anaitetea serikali katika ishu ya kupigwa kwa Dk.Ulimboka.
 
mkuu umesema kweli kabisa, siku za karibuni Kibonde alitoa kauli zinazoonyesha anaitetea serikali katika ishu ya kupigwa kwa Dk.Ulimboka.

Ukweli kabisa!
Kibonde anazidi kuongeza utata upande wa Serikali kwa kudhani kuwa anaitetea Serikali.
 
huyo akivurugaga dozi anakua hivyo,mtu mwenyewe anapiga deiwaka tu hapo wafu fm
 
kulidiscuss hilo bichwa boga humu ni kulidhalilisha jukwaa!mods close this thread.
 
Timbilimu mkuu nijuze, Sasa walipofunga Bunge walisaidia nini ktk kuokoa wale watu waliozama?..Nashindwa kuunganisha maana sielewi inasaidia nini kuvunja Bunge au ilitakiwa kuendelea kujadili hoja ya Mbunge wa Wawi jinsi gani bunge linaweza kusaidia.

Mkuu Mkandara kwa eneo dogo kama Zanzibar inapotokea ajali kama ya jana,taharuki inakuwa kubwa kulinganisha na sisi bara. Kwa hiyo akili ya wabunge wa Zanzibar ilikua zaidi kufikiria zoezi za uokoaji na kujua kama ndugu,jamaa na wapiga kura wao wamesalimika ama la. Tatizo kubwa lililojitokeza Bungeni ni serikali kutotoa taarifa yoyote mpaka kikao cha jioni. Spika alaumiwe kwa lugha hisiyokuwa ya kiungwana lakini ushauri wa kuharisha bunge ulipaswa kutolewa na wakuu wake.
 
Mkuu Mkandara kwa eneo dogo kama Zanzibar inapotokea ajali kama ya jana,taharuki inakuwa kubwa kulinganisha na sisi bara. Kwa hiyo akili ya wabunge wa Zanzibar ilikua zaidi kufikiria zoezi za uokoaji na kujua kama ndugu,jamaa na wapiga kura wao wamesalimika ama la. Tatizo kubwa lililojitokeza Bungeni ni serikali kutotoa taarifa yoyote mpaka kikao cha jioni. Spika alaumiwe kwa lugha hisiyokuwa ya kiungwana lakini ushauri wa kuharisha bunge ulipaswa kutolewa na wakuu wake.

You are right Mkuu, na ujue Mama mwenyewe alidhani kwa kufanya vile analinda maslahi ya wakuu wake, kumbe akakuta amevurunda !
 
Mkuu Mkandara kwa eneo dogo kama Zanzibar inapotokea ajali kama ya jana,taharuki inakuwa kubwa kulinganisha na sisi bara. Kwa hiyo akili ya wabunge wa Zanzibar ilikua zaidi kufikiria zoezi za uokoaji na kujua kama ndugu,jamaa na wapiga kura wao wamesalimika ama la. Tatizo kubwa lililojitokeza Bungeni ni serikali kutotoa taarifa yoyote mpaka kikao cha jioni. Spika alaumiwe kwa lugha hisiyokuwa ya kiungwana lakini ushauri wa kuharisha bunge ulipaswa kutolewa na wakuu wake.
Mbona mnanichanganya?
Wabunge wa Upinzani walitaka bunge livunjwe ili waende msibani au walitaka bunge lijulishwe na wazungumzie hali ya ajali ilotokea?... Na huyu Makinda alikataa nini haswa hadi kutoa maneno ya dharau kama yale. Naona kuna story mbili hapa zinakinzana..
 
Huyu si Kibonde jina yake mupya ni KIBOGOYO, ukibogoyo si kutokuwa na meno tu, bali kuna ukibogoyo wa akili. Kifupi huyu bwana si kwamba akili hana,anayo bali haina afya. Haya wote semeni kobogoyoooooooo!
 
Poleni wafiwa, majeruhi Mungu awaponye mapema.

Mimi naungana na Kibonde kuwaponda wabunge wote walio susa kikao kile.
Moja, taarifa rasmi ikikuwa haijafika bungeni hivyo maamuzi ya Spika yalikuwa sahihi.

Pili, hata baada ya kutoka nje hawakuweza kwenda kokote zaidi ya kuzurura nje ya ukumbi. kwa zaidi ya saa moja.
Kama wange kuwa na busara wange muuliza uwaziri wa mambo ya ndani ambayo ndio iliyokuwa inawasilisha bajeti yake na ndio huyo huyo ambae anahusika na mambo ya usalama wa raia na mali zao.
Makinda kukubali kuahirisha kikao baada ya Waziri wa (CCM) kuomba kufanya hivyo kulitokana na ukweli kwamba, hata wangeendelea wasingeweza kupitisha bajeti ile kwa sababu kolamu isingetimia kwa majibu wa kanuni za bunge kutokana na wale walio toka nje bila ya NIDHAMU lakini kwa kulindwa na kanuni za bunge.
 
Umetumwa na kibonde eh..

Yaan ninyi watu mnashangaza sana kila anayepinga mwenendo wenu kwa manufaa ya TAIFA hili katumwa yaani ninyi mnapenda ubabe ubabe kutukana watu na hayo yote ni kati ya yale yamchukizayo mungu badilikeni kwa faida ya Tanzania yetu
 
Mbona mnanichanganya?
Wabunge wa Upinzani walitaka bunge livunjwe ili waende msibani au walitaka bunge lijulishwe na wazungumzie hali ya ajali ilotokea?... Na huyu Makinda alikataa nini haswa hadi kutoa maneno ya dharau kama yale. Naona kuna story mbili hapa zinakinzana..

Aliomba kikao cha jana kimalizike haraka kinyume na siku za kawaida,kuwawezesha wabunge na wakuu wa serikali kuanza kusafiri kwenda Zanzibar kusaidia zoezi la uokoaji. Na kumbuka Wizara ya Mambo ya Ndani wakuu wake wote walikua Dodoma ktk zoezi la upitishaji wa makadirio ya Bajeti.
 
Nimemsikia Kibonde akiwa kwenye kipindi Clouds FM akiponda uamuzi wa Wabunge wa upinzani kutoka bungeni jana baada ya Spika Anne Semamba Makinda kupuuza hoja ya Mhe.Mbunge wa Wawi.

Natafuta kundi la kumuweka huyu Jamaa bado sijapata!..

Kibonde is right. Kwani kiongozi wa serikali bungeni ni PINDA NA yeye alikaa kimya unategemea nini sasa hapo!! Waklaumiwa ni Mtoto wa Peasant, iweje atulie wakati watu wanaangamia!!! Jiulize kwanza kwenye hilo..
 
Tusimlaumu mwili mkubwa akili hakuna ndo mwisho wake wa kufikiria watu wanaendelea kupoteza maisha wao wabaki bungeni wanafanya nn anaongea pumba gani huyo ..!
 
Back
Top Bottom